Sh3 milioni zamweka matatani Mtendaji wa kijiji Simanjiro

Simanjiro. Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Ruvu Remit wilayani Simanjiro mkoani Manyara, Godbles Mollel amefikishwa mahakamani kwa kosa la rushwa kwa kutumia Sh3.3 milioni isivyo halali. Mollel amesomewa shitaka hilo la uhujumu uchumi leo Septemba 17, 2025 mbele ya hakimu mkazi mwandamizi wa Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Onesimo Nicodemo. Mwendesha mashtaka wa…

Read More

Vyama 19 vyaikumbusha Takukuru wajibu wake

Kigoma. Wagombea ubunge wa majimbo ya Kigoma Mjini na Kigoma Kaskazini wameiomba Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Kigoma, kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kwa kuzingatia sheria na taratibu za uchaguzi. Wagombea hao wametoa kauli hiyo leo, Jumatano Septemba 17, 2025, mjini Kigoma,  baada ya kushiriki mafunzo yaliyotolewa na Takukuru kuhusu…

Read More

Wasira: Wagombea msibweteke kaombeni kura kwa wananchi

Mbeya. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema hakuna mgombea aliyepita bila kupingwa, na amewataka wagombea wa chama hicho kuendelea kusaka kura kwa wananchi nyumba kwa nyumba. Amesema lengo la kusaka kura ni   kuhakikisha ushindi wa kishindo katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 unapatikana. Wasira ametoa kauli hiyo leo,…

Read More

Kongamano la Uchumi Jumuishi kuwakutanisha wadau Mbeya

KIGODA Cha Uprofesa cha Mwalimu J.K. Nyerere katika Taaluma za Umajumui wa Afrika (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP Centre), limeandaa kongamano kubwa la kujadili Uchumi Jumuishi kuelekea utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Kongamano hilo litafanyika Septemba 18,…

Read More

Je Nani Kukupatia Maokoto Siku ya Leo?

MECHI za UEFA leo hii zinaendelea baada ya jana kushuhudia mitanange kibao ya kukata na shoka. Nafasi ya kuondoka na pesa unayo ndani ya Meridianbet, ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Mapema kabisa Olympiacos atakuwa mwenyeji wa Pafos FC ambao hawapewi nafasi ya kushinda mtanange huu wa leo wakiwa na ODDS 7.80 kwa 1.46….

Read More

Meridianbet kukupa Burudani Ya Kipekee Kupitia Meridian Bonanza

MERIDIANBET imeleta mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa michezo ya kubashiri kupitia utambulisho wa Meridian Bonanza. Hii ni burudani mpya kabisa ndani ya kasino mtandaoni iliyoundwa kwa kutumia teknolojia na ubunifu wa hali ya juu. Meridian Bonanza inawafanya washiriki wajihisi kuwepo kwenye eneo la kasino halisi ilhali wanatumia simu au kompyuta kucheza. Upekee wa mchezo huu…

Read More