Askofu Mkuu Novatus Rugambwa Afariki Dunia – Global Publishers

Aliyekuwa Balozi wa Baba Mtakatifu (Vatican) katika nchi mbalimbali duniani, Mtanzania Askofu Mkuu Novatus Rugambwa Aliyekuwa Balozi wa Baba Mtakatifu (Vatican) katika nchi mbalimbali duniani, Mtanzania Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, amefariki dunia usiku wa Septemba 16, 2025 huko Roma, Italia. Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa alizaliwa Oktoba 8, 1957 mkoani Kagera. Aliwekwa…

Read More

Misafara ya bodaboda kwenye mikutano ya kampeni yazua mjadala

Dar es Salaam. Wiki ya tatu ya kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 inapoyoyoma, taswira mpya imeendelea kujibainisha mitaani, vijana waendesha bodaboda wamegeuka kuwa injini ya hamasa na kivutio kikuu cha misafara ya kisiasa. Makundi haya yamekuwa yakionekana kwa wingi barabarani, pikipiki zao zikipambwa kwa bendera na mabango ya wagombea wakisindikiza misafara na mikutano kwa vuvuzela,…

Read More

Masista wanne waliofariki ajalini Mwanza kuzikwa Dar

Mwanza. Masista wanne waliopoteza maisha katika ajali ya gari jijini Mwanza wanatarajiwa kuzikwa Septemba 19, 2025, Boko, jijini Dar es Salaam, huku dereva wao akizikwa Nyegezi, Mwanza. Masista hao ambao ni Lilian Kapongo, aliyekuwa Mkuu wa Shirika la Masista Wakarmeli Wamisionari wa Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu Duniani na aliyekuwa Mshauri Mkuu na Katibu Mkuu…

Read More

Hali ilivyo maandalizi ya mazishi ya miili mitano ya familia moja iliyofariki ajalini Pwani

Tanga. Maandalizi ya mazishi ya miili mitano ya watu wa familia moja waliofariki dunia kwenye ajali ya gari Septemba 13, mkoani Pwani yanaendelea mkoani Tanga, ambapo ibada itafanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), lililopo Donge. Akizungumza na Mwananchi kwenye eneo la msiba uliopo maeneo ya Magaoni jijini Tanga leo Jumatano Septemba 17,2025…

Read More

Uzuri wa Tanzania Kupitia Sanaa, Vivo Energy Yazindua mashindano ya Awamu ya pili kwa shule za Sekondari na Vyuo nchini

Katibu Mtendaji, Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Dkt. Kedmon Mapana katikati akizungumza na wanafunzi wa shule ya Sekondari Jangwani wakati wa uzinduzi wa mashindano ya Sanaa ya Uchoraji kuelezea uzuri wa Tanzania, uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam Septemba 16, 2025. Wnafunzi wa shule ya Sekondari Jangwani wakionesha utaalamu wao katika kuelezea uzuri…

Read More

Samia kunadi sera Makunduchi  | Mwananchi

Unguja. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan kesho atafanya mkutano wa kwanza wa kampeni kisiwani Unguja, Zanzibar. Samia ambaye ameteuliwa kupeperusha bendera ya CCM kwenye nafasi hiyo akiwa mwanamke wa kwanza, ataomba kura kwenye ardhi ya Zanzibar ambako ndipo lilipo chimbuko lake. Taarifa…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Rais ajaye anapaswa kujua haya

Kila rika huwa na mitindo yake ya maisha. Wakati fulani nilishuhudia wazee wetu wakivaa suruali pana na mashati ya kubana, wajomba na baba wadogo wakavaa mashati makubwa na suruali za kubana, sisi tuliokuwa wadogo tukavalishwa mitindo kwa kutegemea anayekuvalisha. Tuliweza kujuana kuwa huyu kavalishwa shati la “puto” na mjomba au “slim fit” na baba yake….

Read More

Mwabukusi analipia gharama ya mguu alioingilia TLS

Stadi ya sayansi ya siasa, inathibitisha kuwa vyama vya upinzani hunufaika kupitia migogoro na serikali, kuliko maelewano. Tutapitia kazi ya mwanazuoni Elias Koch, kutoka Shule ya Hertie, iliyopo Berlin, Ujerumani. Shule ya Hertie ni taasisi inayoshughulika na utafiti, midahalo ya utawala bora na masuala ya umma, Ujerumani na Ulaya. Kazi ya Koch ilichapwa Agosti Mosi,…

Read More