Shida walimu kutekeleza mtalaa mpya
Dodoma. Mtalaa ulioboreshwa ulioandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) unaendelea kutekelezwa. Pamoja na mambo mengine, lengo la mtalaa huu ni kuhama kutoka kumkaririsha mwanafunzi maarifa kwa minajili ya kufaulu mitihani, kwenda kwenye hatua ya kumwezesha mwanafunzi kupata mahiri zinazoweza kumsaidia kuendesha maisha yake hata baada ya masomo. …