Unafahamu chimbuko la Siku ya Wanawake Duniani?

Dar es Salaam. Kila mwaka ifikapo Machi 8, dunia huadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Katika nchi nyingi siku hii huambatana na mikutano, maandamano, kampeni za kijamii na tafakuri kuhusu mchango wa wanawake katika maendeleo ya jamii pamoja na changamoto zinazowakabili. Hata hivyo, nyuma ya maadhimisho haya kuna historia ndefu ya mapambano ya kijamii na kisiasa…

Read More

Simama katika zamu yako   | Mwananchi

Tumsifu Yesu Kristo. Nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo aliye hai. Ni matumaini yangu kuwa, kwa neema ya Mungu, unaendelea vizuri. Ninamshukuru Mungu kwa kunipa kibali cha kusema na wewe siku ya leo, ikiwa ni Siku ya Wanawake Duniani. Maadhimisho ya mwaka jana, kupitia ukurasa huu, nilipata pia kibali cha kukukumbusha juu ya…

Read More

Dk Mwigulu ataka uwazi kwenye fedha za miradi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amezielekeza halmashauri zote kuweka wazi kuhusu fedha za miradi inayotekelezwa kwenye halmashauri husika kwa kile alichoeleza usiri unasababisha uchepushaji wa fedha za miradi. Dk Mwigulu ametoa maelekezo hayo leo Mchi 8,2026 wakati akizungumza na wananchi wa Laela mkoani Rukwa ambapo aliagiza kuanzia sasa taarifa za fedha za…

Read More

‘Bundi’ alivyotua CCM Moshi, tafrani zaibuka kikaoni

Moshi. Hali si shwari, ndivyo unaweza kuelezea misuguano iliyopo ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Manispaa ya Moshi huku baadhi ya viongozi na wanachama wakigawanyika katika makundi mawili yanayosigana. Ni kutokana na msuguano huo, kikao cha halmashauri kuu ya chama hicho ambacho kiliketi jana Jumamosi Machi 7, 2026 katika ukumbi wa CCM mkoa almanusura kisifanyike, kama…

Read More

Serikali kutoa Sh8.1 bilioni kurejesha vivuko, madaraja Serengeti

Serengeti. Serikali imesema itatoa Sh 8.1 bilioni kwa ajili ya kurejesha vivuko na madaraja saba yaliyoharibiwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha ambazo zimeharibu miundombinu hiyo katika Hifadhi ya Taifa Serengeti. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji, amesema hayo leo Jumapili Machi 8, 2026 akizungumza katika Kivuko cha Mto Banagi, kilichopo hifadhini humo baada…

Read More

Wakulima kurahisishiwa upatikanaji wa mbegu bora

Dar es Salaam. Tanzania imelenga kuongeza tija ya uzalishaji wa kilimo katika mazao 13 ya kimkakati baada ya kusainiwa kwa makubaliano yanayolenga kuhakikisha wakulima wote walio katika vyama vya ushirika wanapatiwa mbegu bora na zenye tija kwa wakati. Mkataba huo wa makubaliano wa miaka mitano uliosainiwa kati ya Shirikisho la Vyama Vya Ushirika Tanzania (TFC)…

Read More

Michango mashuleni kikwazo kwa watoto wenye mazingira magumu

Dodoma. Walezi wa watoto wanaoishi katika mazingira magumu wametaja wingi wa michango ya wanafunzi shuleni kuwa inawakwamisha katika kufikia malengo na kuomba Serikali iwasaidie kutoa mwongozo. Kauli hiyo imetolewa leo Jumapili Machi 8,2026 na Mkurugenzi wa Kituo cha kulea watoto yatima na wenye mahitaji maalumu cha Rahman Day Care Center,  Rukia Abllah wakati akipokea vyakula…

Read More