Maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani ujumbe wa haki, usawa watawala
Dar/mikoani. Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yamefanyika kwa aina tofautitofauti nchini kwa wito wa haki na usawa ukitawala huku wale wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) wakikutana na vikwazo kila kona. Bawacha walipanga kufanya maadhimisho yao kitaifa Musoma Mjini, Mkoa wa Mara lakini baadhi walijikuta mikononi mwa Jeshi la Polisi kwa misafara yao…