VIONGOZI WA DINI WATAKIWA KUKESHA KUIOMBEA NCHI YETU : SENYAMLE

…………. Na Ester Maile  Dodoma  Mkuu wa Mkoa wa Dodoma  Rosemary Senyamule, amewataka viongozi wa dini nchini kutumia nguvu kubwa kuliombea taifa ili yasitokee matukio ya uvunjifu wa amani kama ilivyokuwa Oktoba 29, mwaka huu wakati wa uchaguzi mkuu. Senyamule, ameyabainisha hayo leo 05 Desemba 2025 jijin Dodoma  wakati  akifungua kongamano la maombi ya viongozi…

Read More

Mwelekeo mpya wa huduma za malezi na makuzi mkoani Mbeya

Dar es Salaam. Safari ya utekelezaji wa Mpango wa Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (MMMAM) mkoani Mbeya inaendelea kuwa mfano bora wa namna takwimu, ushirikiano na ufuatiliaji wa karibu vinavyoweza kuleta mageuzi makubwa katika hatua za awali za maisha ya mtoto. Desemba 2, 2025, Pact Tanzania iliandaa hafla ya tathmini ya mkoa…

Read More

TLS yataka umakini matumizi ya AI kwenye sheria

Arusha. Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimewataka wanachama wake kuwa makini na matumizi ya teknolojia katika utendaji kazi, hususan Akili Mnemba (AI), ili kunufaika nayo bila kuhatarisha haki, utu na imani ya wananchi wanaohudumiwa. Tahadhari hiyo imetolewa leo Desemba 5, 2025 jijini Arusha na Makamu Mwenyekiti wa TLS, Laetitia Ntagazwa, kwenye Mkutano wa Kawaida wa…

Read More

Qorro: Nitaimarisha ushirikiano kuchochea maendeleo ya Karatu

Arusha. Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Karatu, Engelbert Aloyce Qorro ameainisha vipaumbele atakavyovitekeleza kwa kushirikiana na viongozi wenzake kufikia malengo waliyojiwekea ya kuwaletea wananchi maendeleo. Hayo aliyasema jana, Alhamisi Desemba 4,2025 baada ya kuchaguliwa kwa kura zote 21 za madiwani wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)  pamoja na Makamu Mwenyekiti wake, Cyril Placid James kuwa…

Read More

MADINI YA EMERALD YAIBUA MVUTO MPYA WA UWEKEZAJI MKOANI RUKWA

Mkoa wa Rukwa umeendelea kujikita kuwa kitovu kipya cha uchimbaji wa madini ya emerald nchini, huku Serikali na wadau wa sekta hiyo wakihimiza vijana kuchangamkia fursa zinazopatikana katika maeneo mbalimbali ya uchimbaji. Akizungumza mara baada ya kutembelea eneo la Mponda lililopo Wilaya ya Sumbawanga, Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Rukwa, Mhandisi Joseph Kumburu, amesema…

Read More

SMZ kuongeza bajeti ya elimu hadi Sh1 trilioni

Unguja. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imepanga kuongeza bajeti ya elimu kutoka Sh864 bilioni hadi Sh1 trilioni, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kuongeza ubora wa elimu na kuimarisha miundombinu ya sekta hiyo nchini. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, ametangaza hatua hiyo leo, Desemba 5, 2025, wakati akifungua mkutano mkuu wa 13 wa…

Read More