Watoto wenye makengeza waitiwa matibabu Dodoma
Dodoma. Watoto 24 kati ya 10,000 wenye umri wa kuanzia miaka 0 hadi 15 wana matatizo ya macho, ikiwemo ugonjwa wa mtoto wa jicho, huku asilimia 4.5 ya wakazi wa Mkoa wa Dodoma wakikabiliwa na upofu. Takwimu hizo zimetolewa leo Jumatatu, Septemba 15, 2025, na daktari bingwa wa macho kwa watoto katika Hospitali ya Rufaa…