ODILIA : KATAMBI MTU KAZI, OKTOBA 29 KURA ZOTE CCM

Katibu wa CCM Mkoa wa Shinyanga Odilia Batimayo akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini uliofanyika Jumapili Septemba 14,2025 katika kata ya Ndala Manispaa ya Shinyanga – Picha na Marco Maduhu na Kadama Malunde Na Marco Maduhu,Shinyanga Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)…

Read More

Ukata unavyotesa vyama vya upinzani

Dar/ mikoani. Kampeni si lelemama ndivyo unaweza kuelezea kile kinachotokea kwa baadhi ya vyama vya siasa vya upinzani kushindwa kufanya mikutano ya kampeni, huku suala la ukata likitajwa kuwa miongoni mwa sababu za tatizo hilo. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), ndicho pekee katika vyama vya upinzani kinachoonekana kufanya mikutano kwa kuzingatia ratiba iliyotolewa na…

Read More

Othman akomaa na ahadi ya kuimarisha demokrasia

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema endapo akishika madaraka Oktoba 29, mwaka huu atahakikisha anajenga demokrasia ili Wazanzibari wawe huru kuchagua na kuchaguliwa katika chaguzi huru. Amefafanua kuwa Serikali atakayoiunda itakomesha utaratibu wa viongozi kuchaguliwa kwa njia zisizo halali, hali inayosababisha Wazanzibari kupokwa haki yao ya kuchagua…

Read More

Marekani kurudisha miradi ya USAID Tanzania

Arusha. Ubalozi wa Marekani nchini umethibitisha kuwa miradi ya maendeleo iliyokuwa ikitekelezwa kupitia Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) itarejeshwa, licha ya shirika hilo kufungwa mapema mwaka huu. Kauli hiyo imetolewa leo Jumapili, Septemba 14, 2025, na Balozi wa muda wa Marekani nchini, Andrew Lentz, alipozungumza na waandishi wa habari jijini Arusha baada…

Read More

Kingu asaka kura za wagombea wa CCM Jimbo la Songea mjini

Songea. Aliyekuwa mbunge wa Singida Magharibi, Elibarik Kingu amewataka wananchi wa Jimbo la Songea kutofanya kosa bali waendelee kukichagua Chama cha Mapinduzi (CCM), akisema kimetekeleza kwa vitendo ahadi zake katika nyanja mbalimbali za maendeleo. Akizungumza leo Jumapili Septemba 14, 2025 kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM uliofanyika viwanja vya Kiblang’oma, Kata ya Lizaboni,…

Read More

Dkt. Ndumbaro: Ilani ya CCM 2020–2025 Yatekelezwa kwa kishindo, Ahadi Ilani Mpya 2025–2030 Zatajwa Kampeni Jimbo la Songea Mjini ikizinduliwa.

 Mgombea Ubunge Jimbo la Songea Mjini na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro, amesema utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020–2025 umekamilika kwa mafanikio makubwa, hususan katika sekta za kilimo, elimu, afya, maji na miundombinu. Akizungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni katika jimbo la Songea Mjini…

Read More

CCM WAZINDUA RASMI KAMPENI SHINYANGA MJINI

  Katibu wa CCM Mkoa wa Shinyanga Odilia Batimayo akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini uliofanyika Jumapili Septemba 14,2025 katika kata ya Ndala Manispaa ya Shinyanga – Picha na Marco Maduhu na Kadama Malunde  Na Marco Maduhu,Shinyanga Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa…

Read More