Meya Zanzibar aapa akisisitiza utunzaji siri za Serikali

Unguja. Meya wa Jiji la Zanzibar, Kamal Abdulsatar Haji amesema atahakikisha anatunza siri za serikali katika utekelezaji wa majukumu yake ili kulinda maadili ya utumishi wa umma huku akisisitiza suala la kuvunja makundi. Hayo ameyasema jana Desemba 4, 2025 katika hafla ya kuwaapisha madiwani wateule uliombatana na uchaguzi wa kumchangua Meya na Naibu wake iliyofanyika…

Read More

Imbeju: Programu Inayozalisha Fursa na Kuunganisha Watanzania na Huduma za Kifedha

   Dar es Salaam – Katika hafla ya Marketers Night Out iliyofanyika jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Esther Mwambapa, aliwasilisha mada iliyoangazia kwa kina mchango wa programu ya Imbeju katika kubadilisha maisha ya wananchi, hasa wanawake na vijana, kupitia uwezeshaji wa kiuchumi na kukuza ujumuishi wa kifedha nchini. Akizungumza…

Read More

Video: Polisi Yapiga Marufuku Maandamano ya Desemba 9, Yasifanyike Nchi Nzima

Jeshi la Polisi Tanzania limepiga marufuku “maandamano ya amani yasiyo na kikomo,” yaliyotangazwa kufanyika Desemba 9, 2025, likisema yamekosa sifa za kisheria na yanaashiria mipango ya uhalifu unaoweza kuhatarisha usalama wa taifa. Katika taarifa iliyotolewa Desemba 5, 2025 na Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) David Misime, jeshi hilo limesema…

Read More

KAMISHNA BADRU ATOA KONGOLE KWA TIMU ZA NGORONGORO ZILIZOSHIRIKI SHIMMUTA

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Bwana Abdul-Razaq Badru amezipongeza timu za Mamlaka hiyo zinazoshiriki mashindano ya Shirikisho la Mashirika ya serikali na Taasisi Binafsi (SHIMMUTA) yanayoendelea mkoani Morogoro kwa kuendelea kulinda na kutangaza taswira ya taasisi hiyo kupitia sekta ya Michezo. Akitoa salamu  alipotembelea timu hiyo kwa niaba  Kamishna Badru, Kaimu…

Read More

Dk Mwigulu asema kuna mchezo unachezwa

Mwanza. Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amewaonya vijana wanaochochewa kufanya kuvuruga kufumbua macho akisema kuna mchezo unaochezwa. Dk Mwigulu ametoa onyo hilo leo Ijumaa Desemba 5, 2025 alipozungumza na wakazi wa Kisesa mkoani Mwanza mara baada ya kukagua ofisi ya Mtendaji wa Kata hiyo iliyochomwa moto Oktoba 29, 2025. Dk Mwigulu amesema kama…

Read More

Muungano wa mataifa walaani yaliyotokea Oktoba 29, wasema…

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Marekani kueleza azma yake ya kutathmini uhusiano wake na Tanzania, mataifa mbalimbali ya Ulaya na Scandinavia, yenye balozi zake nchini, yamelaani mauaji ya raia katika maandamano ya Oktoba 29, 2025 huku wakizitaka mamlaka kukabidhi miili ya marehemu ili wakazike. Kupitia tamko lao la pamoja, balozi za Uingereza, Canada,…

Read More