Dkt. Mwigulu Akagua Uharibifu Kiwanda Cha Magodoro Cha Banco
Dkt. Mwigulu Akagua Uharibifu Kiwanda Cha Magodoro Cha Banco – Global Publishers Home Habari Dkt. Mwigulu Akagua Uharibifu Kiwanda Cha Magodoro Cha Banco
Dkt. Mwigulu Akagua Uharibifu Kiwanda Cha Magodoro Cha Banco – Global Publishers Home Habari Dkt. Mwigulu Akagua Uharibifu Kiwanda Cha Magodoro Cha Banco
Unguja. Meya wa Jiji la Zanzibar, Kamal Abdulsatar Haji amesema atahakikisha anatunza siri za serikali katika utekelezaji wa majukumu yake ili kulinda maadili ya utumishi wa umma huku akisisitiza suala la kuvunja makundi. Hayo ameyasema jana Desemba 4, 2025 katika hafla ya kuwaapisha madiwani wateule uliombatana na uchaguzi wa kumchangua Meya na Naibu wake iliyofanyika…
Dar es Salaam – Katika hafla ya Marketers Night Out iliyofanyika jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Esther Mwambapa, aliwasilisha mada iliyoangazia kwa kina mchango wa programu ya Imbeju katika kubadilisha maisha ya wananchi, hasa wanawake na vijana, kupitia uwezeshaji wa kiuchumi na kukuza ujumuishi wa kifedha nchini. Akizungumza…
Jeshi la Polisi Tanzania limepiga marufuku “maandamano ya amani yasiyo na kikomo,” yaliyotangazwa kufanyika Desemba 9, 2025, likisema yamekosa sifa za kisheria na yanaashiria mipango ya uhalifu unaoweza kuhatarisha usalama wa taifa. Katika taarifa iliyotolewa Desemba 5, 2025 na Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) David Misime, jeshi hilo limesema…
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Bwana Abdul-Razaq Badru amezipongeza timu za Mamlaka hiyo zinazoshiriki mashindano ya Shirikisho la Mashirika ya serikali na Taasisi Binafsi (SHIMMUTA) yanayoendelea mkoani Morogoro kwa kuendelea kulinda na kutangaza taswira ya taasisi hiyo kupitia sekta ya Michezo. Akitoa salamu alipotembelea timu hiyo kwa niaba Kamishna Badru, Kaimu…
Mwanza. Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amewaonya vijana wanaochochewa kufanya kuvuruga kufumbua macho akisema kuna mchezo unaochezwa. Dk Mwigulu ametoa onyo hilo leo Ijumaa Desemba 5, 2025 alipozungumza na wakazi wa Kisesa mkoani Mwanza mara baada ya kukagua ofisi ya Mtendaji wa Kata hiyo iliyochomwa moto Oktoba 29, 2025. Dk Mwigulu amesema kama…
Moshi. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) Mkoa wa Kilimanjaro imewataka watoa huduma za usafiri kuepuka upandishaji wa nauli holela na matumizi ya magari mabovu, hasa katika msimu huu wa kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka ambapo mahitaji ya usafiri huwa makubwa. Ofisa Mfawidhi wa LATRA mkoani hapa, Paulo Nyello, amesema mamlaka hiyo imejipanga…
WAHITIMU 1,362 wa ngazi mbalimbali za masomo ya afya na sayansi shirikishi wametunukiwa vyeti na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) katika Mahafali ya 19 yaliyofanyika leo Desemba 4, 2025 jijini Dar es Salaam. Mkuu wa chuo hicho, Prof. David Homeli Mwakyusa, aliwapa wahitimu hao vyeti vinavyohusisha stashahada, shahada ya kwanza, shahada…
Na Ruth Kyelula, Manyara Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, ameanza ziara maalumu ya ukaguzi wa miradi na kusikiliza kero za wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’, ikiwa ni sehemu ya msisitizo wake wa kusogeza huduma karibu na wananchi kwa kauli mbiu “Tunavua buti ama hatuvui, tukutane site.” Ziara hiyo iliyoanza Desemba…
Dar es Salaam. Siku moja baada ya Marekani kueleza azma yake ya kutathmini uhusiano wake na Tanzania, mataifa mbalimbali ya Ulaya na Scandinavia, yenye balozi zake nchini, yamelaani mauaji ya raia katika maandamano ya Oktoba 29, 2025 huku wakizitaka mamlaka kukabidhi miili ya marehemu ili wakazike. Kupitia tamko lao la pamoja, balozi za Uingereza, Canada,…