
WADAU WA MAENDELEO WAASWA KUJITOKEZA KUFANYA UWEKEZAJI WA NDANI.
Wadau mbalimbali wa maendeleo wameendelea kuunga mkono juhudi za serikali hususani katika sekta ya afya ili kuboresha huduma za afya katika maeneo mbali mbali nchini. Mwenge wa uhuru ukiwa wilayani mbogwe mkoani Geita, umefanikiwa kutembelea na kuweka jiwe la msingi katika kituo binafsi cha afya cha Kagala kilichopo katika halmashauri ya wilaya ya mbogwe. Kituo…