Askofu Sosthenes azikana nyaraka kesi ya Askofu Sepeku

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa Anglikana Tanzania, Dayosisi ya Dar es Salaam, Jackson Sosthenes amezikana nyaraka za ofisi yake zilizotolewa na watangulizi wake kuhusu uamuzi wa kumzawadia shamba na nyumba Askofu mwanzilishi wa dayosisi hiyo na kanisa hilo nchini, hayati John Sepeku. Wakati watangulizi wake katika ushahidi wao na nyaraka mbalimbali zilizowasilishwa mahakamani hapo…

Read More

Dk Nchimbi: Tutaziunganisha kaya zote na umeme

Kilimanjaro. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema, shabaha ya chama hicho miaka mitano ijayo ni kuhakikisha kaya zote nchini zinaunganishwa na umeme ili kuchochea maendeleo ya wananchi. Dk Nchimbi amesema hayo leo Jumamosi, Septemba 13, 2025 katika mikutano ya kampeni ya uchaguzi mkuu kwenye baadhi ya majimbo mkoani…

Read More

TRA Kagera, yawashika mkono watoto wenye mahitaji maalumu

Bukoba. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),  Mkoa wa Kagera wamekabidhi msaada wa vitu vyenye thamani ya Sh5 milioni katika kituo cha kulelelea watoto wenye mahitaji maalumu cha Nusulu Yatima, Kashai Bukoba. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi, Septemba 13, 2025 Meneja wa TRA Mkoa Kagera, Castro John amesema lengo la msaada huo ni kurudisha kwa…

Read More

Polisi Mara yapokea magari mapya 16 kuboresha utendaji

Musoma. Jeshi la Polisi mkoani Mara limepokea magari mapya 16 kwa ajili ya kuboresha utendaji wao wa kazi huku Kamanda wa Polisi mkoani humo, Pius Lutumo akitoa onyo kwa madereva wa magari hayo kuepuka uendeshaji usiofuta sheria za usalama barabarani ikiwemo mwendokasi. Akikabidhi magari hayo kwa watendaji wa jeshi hilo ngazi ya mkoa na wilaya,…

Read More

Mpina ateuliwa kuwania urais, akataa gari ya INEC

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimekataa kupokea gari jipya lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa kila mgombea wa nafasi ya urais kikisema kiko vizuri katika rasilimali. Tukio hilo limetokea leo Septemba 13, 2025 baada ya Mpina kurejesha fomu INEC, Dar es Salaam za kuomba kuteuliwa kuwania nafasi ya urais katika…

Read More

Mpina alikataa shangingi la INEC akiteuliwa kuusaka urais

Dar es Salaam. Wakati Mgombea urais wa Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina akiteuliwa rasmi kuwania nafasi hiyo, Chama hicho kimelikataa gari jipya aina ya Toyota LandCruiser GX VXR lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa ajili ya kampeni za urais. Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu Jacobs Mwambegele, akizungumza leo Jumamosi…

Read More