Meridian Bonanza Yaanza Kutikisa Ulimwengu wa Kubashiri

MERIDIAN Bonanza imewasili kwa kasi kubwa ikiwa imebeba burudani na ushindi. Ukiwa ni mchezo mpya kabisa, Bonanza inaleta upekee, msisimko na teknolojia ya kisasa inayomweka mchezaji katikati ya kila tukio. Huu si mchezo wa kawaida, ni safari ya ushindi isiyotabirika. Meridian Bonanza imeundwa kwa ubora wa hali ya juu, ikijumuisha muonekano wa kuvutia na athari…

Read More

Tengeneza Mpunga Leo na Meridianbet

NI Ijumaa nyingine ya kuanza kufikiria mkwanja wa maana ambapo ligi mbalimbali zinaendelea baada ya mapumziko ya Kimataifa. Sasa ni muda wa wewe pia kurejea kuokoto kwa kubashiri mechi zako kwa dau lolote. LALIGA leo hii kule Hispania itaendelea kwa mtanange mmoja ambapo Sevilla FC baada ya kushinda mechi yake iliyopita atakipiga dhidi ya Elche…

Read More

DKT.NCHIMBI ASALIMIA WANANCHI WA ARUMERU ,AOMBA KURA

Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi akisalimia wananchi wa Jimbo la Arumeru Magharibi alipokuwa akiendelea na mikutano yake ya kampeni kwa ajili ya kunadi Ilani ya chama hicho pamoja na kuomba kura kwa wagombea Urais, Ubunge na Udiwani wa CCM mkoani Arusha leo Septemba…

Read More

MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAONGEZEKA NCHINI

………………. 📌 Mhandisi Mramba asema yamefikia asilimia 20.3  kutoka asilimia 6.9 ya mwaka 2021 📌 Lengo ni kufikia asilimia 80 ifikapo 2034 📌 Apongeza juhudi za Rais Samia katika kuwezesha upatikanaji wa nishati safi, salama na nafuu kwa Watanzania Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha.Felchesmi Mramba ameeleza kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia…

Read More

DKT NCHIMBI AWAHUTUBIA WANA LONGIDO,ARUSHA.

MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John  Nchimbi, amewahutubia Wananchi wa Longido kwenye mkutano mdogo wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Polisi, leo Ijumaa Septemba 12,2025. Mara baada ya kuwasili eneo la Mkutano,Balozi Nchimbi alikaribishwa kwa kuvalishwa vazi la heshima la…

Read More