Salum Mwalimu aahidi kufufua kilimo cha pamba
Bunda. Mgombea urais wa Chama cha Chaumma, Salum Mwalimu ameahidi kufufua kilimo cha pamba na kukiunganisha moja kwa moja na viwanda, ili kuongeza thamani ya zao hilo na kuwanufaisha wakulima, endapo atachaguliwa kuongoza dola katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu. Akizungumza leo, Septemba 11, 2025, katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa…