Mwalimu Lihepanyama, mkemia anayekuza sayansi Sekondari Pugu

Dar es Salaam. Katika mazingira ya kihistoria ya Shule ya Sekondari Pugu Boys, jina la Mwalimu Venancia Lihepanyama (57) limeendelea kutajwa kama sehemu ya hadithi ya mafanikio ya mamia ya wanafunzi waliopitia mikononi mwake katika masomo ya sayansi. Wengi wa wanafunzi hao leo ni madaktari, watafiti, wahandisi, walimu na wataalamu wa kada mbalimbali waliopata msingi…

Read More

Gates of Halloween Na Safari ya Ushindi Inayoendelea Meridianbet

Meridianbet imezidi kuonesha ubunifu wake kupitia mchezo wa kasino unaovutia, Gates of Halloween. Mchezo huu umeleta mandhari ya Halloween, ukichanganya ubunifu wa picha, mwendo wa kasi na hali ya kusisimua inayomweka mchezaji katikati ya tukio la kipekee. Kila mzunguko huibua matarajio mapya, ukiwapa wapenzi wa kasino sababu ya kuendelea kubofya na kufurahia safari yao. Ubunifu…

Read More

ZFDA yateketeza kilo 2,447 za nyama zilizoharibika

Unguja. Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) umeteketeza kilo 2,447 za nyama mchanganyiko baada ya kubainika kuwa hazifai kwa matumizi ya binadamu. Akizungumza baada ya kuteketeza nyama hizo leo Jumapili Machi 8, 2026 katika jaa kuu la Serikali Kibele, Daktari wa Mifugo wa ZFDA, Thamra Khamis Salum amesema bidhaa hizo ziliingizwa nchini na Kampuni…

Read More

Video: Rais Samia Amzawadia Gari Mama Kanumba

Bakari Mahundu March 8, 2026 0 Comments Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemzawadia gari aina ya Toyota Harrier mama wa marehemu Steven Kanumba, kama ishara ya kutambua mchango mkubwa wa mwanaye katika kukuza tasnia ya filamu nchini. Gari hilo limekabidhiwa kwa niaba ya Rais na Mkuu wa Mkoa wa Dar…

Read More

Wanaodaiwa kumteka Mtanzania Kenya wasota mahabusu siku 16

Dar/Nairobi. Mahakama nchini Kenya, kesho itatoa uamuzi wa iwapo raia wawili wa Kenya na Mtanzania wanaotuhumiwa kufanya jaribio la kumteka mwanaharakati wa Tanzania, Mshabaha Hamza, waachiwe kwa dhamana ama la. Katika jaribio hilo la utekaji ambalo lilishindikana, lililotokea Februari 22, 2026 huko Kaunti ya Machakos katika ardhi ya Kenya, watuhumiwa wanadaiwa kumchoma sindano mwanaharakati huyo…

Read More

Dk Tulia kujenga nyumba 13 kila kata

Mbeya. Kufuatia kuwepo kwa changamoto ya baadhi ya wazee kuishi mazingira magumu kwa kukosa makazi bora, mbunge wa Uyole Dk Tulia Ackson ameeleza mpango wake wa  kujenga nyumba 13 katika kila kata jimboni kwake ili kuwarejeshea tabasamu. Dk Tulia amesema hatua hiyo ni kuikumbusha jamii kuwa na utaratibu wa kusaidia makundi hayo na wasione jambo…

Read More

Rais Trump Ahudhuria Kuagwa kwa Wanajeshi 6 Waliouawa Mashariki ya Kati – (Picha +Video)

Global Publishers March 8, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald Trump, amehudhuria hafla maalum ya kuwaenzi wanajeshi sita wa Marekani waliopoteza maisha yao kufuatia shambulio lililohusishwa na Iran katika kambi ya kijeshi nchini Kuwait. Hafla hiyo iliwakutanisha viongozi wa juu wa kijeshi, familia za wanajeshi waliouawa pamoja na maafisa wa serikali ya Marekani, ambapo…

Read More

Piga Pesa Mechi Zote na Meridianbet Leo

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa. LIGUE 1 kule Ufaransa itaendelea Lens atamenyana dhidi ya Metz ambao wapo nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa ligi. Mwenyeji anahitaji ushindi siku ya leo baada…

Read More