Aliyeiba bunduki mali ya Gereza la Songwe akwaa kisiki Mahakama Kuu
Serengeti. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Mbeya imetupa rufaa iliyowekwa na Braison Sanga, aliyekuwa akipinga hukumu ya kifungo cha miaka 30 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la unyang’ang’anyi wa kutumia silaha. Braison Sanga na wenzake wawili, ambao si warufani, walidaiwa kuiba bunduki mali ya Gereza la Songwe. Watuhumiwa hao walitenda kosa hilo kinyume…