
JALI USALAMA WAKO NA WA WATUMIAJI WENGINE WA BARABARA – RTO PWANI
MKUU wa kikosi Cha Usalama Barabarani Mkoa wa Pwani, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi Edson Mwakihaba amewataka maafisa usafirishaji wa Mapinga na Kerege Wilayani Bagamoyo kujali usalama wao, Usalama wa watumiaji wengine wa barabara na kuzingatia sheria za usalama barabarani. Ameyasema hayo Septemba 04, 2025 alipofanya kikao na maafisa usafirishaji huko Mapinga ambapo aliwataka kuzingatia sheria…