JALI USALAMA WAKO NA WA WATUMIAJI WENGINE WA BARABARA – RTO PWANI

MKUU wa kikosi Cha Usalama Barabarani Mkoa wa Pwani, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi Edson Mwakihaba amewataka maafisa usafirishaji wa Mapinga na Kerege Wilayani Bagamoyo kujali usalama wao, Usalama wa watumiaji wengine wa barabara na kuzingatia sheria za usalama barabarani. Ameyasema hayo Septemba 04, 2025 alipofanya kikao na maafisa usafirishaji huko Mapinga ambapo aliwataka kuzingatia sheria…

Read More

Mechi za Kufuzu WC Ulaya Kukupatia Mkwanja Leo

LEO tena ni siku nyingine tena ya wewe kuondoka na pesa ya maana ukibashiri na wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Mechi nyingi za kufuzu Kombe la Dunia 2016 zinaendelea. ODDS KUBWA zipo hapa ingia na utengeneze jamvi sasa. Wales watakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Kazakhstan ambao hawapewi nafasi kubwa ya ushindi siku ya leo wakiwa…

Read More

KIKAO CHA 19 CHA KAMATI YA MIFUKO NA PROGRAMU ZA UWEZESHAJI WAFANYIKA ARUSHA

Kikao cha 19 cha Kamati ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kimefanyika Mkoani Arusha katika ukumbi wa VETA-Njiro kikihusisha wajumbe kutoka taasisi mbalimbali. Kikao hicho kimekusudia kujadili maendeleo ya mifuko na programu za uwezeshaji hapa nchini ikiwemo inayotoa mikopo, dhamana, ruzuku pamoja na programu mbalimbali za uwezeshaji wananchi kiuchumi. Washiriki wa kikao hiki…

Read More

ZAIDI YA 1000 KUHUDHURIA MKUTANO WA NYAMA YA NGURUWE DAR

ZAIDI ya wajumbe 1,250 wa kimataifa na ndani wanatarajiwa kuhudhuria mkutano mkuu wa sekta ya nguruwe barani Afrika unaotarajiwa kufanyika nchini kuanzia Septemba 11 hadi 13, mwaka  Mkutano huo utafanyika Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam, kuzungumzia  hatua muhimu kwa sekta ya ufugaji wa nguruwe inayokuwa kwa kasi nchini. Mkutano huo ulioandaliwa na Chama cha…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AENDELEA KUCHANJA MBUGA… AHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI MBALIZI

*Atoa maelekezo kwa wakulima kuendelea kujisajili katika mfumo wa kupata Mbolea ya ruzuku,pembejeo. *Aahidi mambo makubwa katika miaka mitano ijayo …agusia kuendelea kuboresha huduma za kijamii  Na Said Mwishehe,Michzuzi TV-Mbalizi MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameendelea kuchanja mbuga ambapo leo Septemba 4,2025 amehutubia maelfu ya wananchi Mji Mdogo…

Read More

Je, hisa za kijani ni upepo mpya wa soko la fedha Tanzania?

Katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi, ambapo mabadiliko ya tabianchi na uharibifu wa mazingira vimekuwa changamoto kubwa, dhana ya fedha endelevu imepata umaarufu mkubwa. Fedha endelevu inahusu uwekezaji na mifumo ya kifedha inayozingatia masuala ya kimazingira, kijamii na utawala bora (ESG – Environmental, Social, and Governance). Tanzania, kama nchi nyingine zinazoendelea, inakabiliwa na uhitaji mkubwa wa…

Read More

Watanzania wahimizwa kuwekeza UTT Amis wavune faida

Dar es Salaam. Uwekezaji katika mifuko ya uwekezaji ya taasisi ya Serikali inayosimamia na kuendeleza mifuko ya uwekezaji wa pamoja UTT Amis umetajwa kuwa bora, hakika na salama zaidi huku ukiwa na utajiri wa faida ya mtaji. Hayo yamebainishwa leo Alhamisi ya Septemba 4, 2025 wakati wa mjadala wa Mwananchi Space ulioandaliwa na Mwananchi Communications…

Read More