Sh385 bilioni kuimarisha miundombinu ya umeme Zanzibar

Unguja. Zanzibar inatarajia kupata mfutiko mkubwa katika sekta ya nishati kufuatia kutiwa saini kwa mradi wa uimarishaji wa miundombinu ya umeme wenye thamani ya Sh385 bilioni, baina ya Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco) na kampuni ya Elecmech Switchgears kutoka Dubai. Hafla ya utiaji saini imefanyika leo Ijumaa, Desemba 5, 2025, katika viwanja vya Maisara, Mjini…

Read More

DC MWANZIVA ASHIRIKI UCHIMBAJI MSINGI UJENZI WA SHULE YA MSINGI NA AWALI NAHUKAHUKA B-MTAMA

Jamii Wilayani Lindi imehamasishwa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao ikiwemo miradi ya elimu ili kuwezesha miradi hiyo kukamilika kwa wakati na kuleta manufaa kwa jamii husika. Mkuu wa Wilaya ya hiyo Victoria Mwanziva ametoa hamasa hiyo Disemba 4,2025 aliposhiriki na wananchi wa Kata ya Nahukahuka, Kijiji cha…

Read More

WAZIRI SANGU: MADEREVA 800 WAAJILIWA QATAR

Na. OWM-KAM, Dar es Salaam Serikali ya Awamu ya Sita imesema inajivunia ushirikiano wa kidugu ulipo kati yake na Taifa la Qatar ambao umesaidia kukuza diplomasia ya uchumi na upatikanaji wa ajira. Kauli hiyo ya Serikali imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu wakati wa hafla ya kuadhimisha…

Read More

TCAA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA USAFIRI WA ANGA (ICAD) 2025

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Usafiri wa Anga (ICAD) kwa kupandisha bendera ya Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga Duniani (ICAO) katika hafla iliyofanyika Makao Makuu yake, Banana–Ukonga Jijini Dar es Salaam. Akizungumza katika maadhimisho hayo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Mhandisi…

Read More

Benki ya Absa Tanzania yang’ara tuzo za NBAA

Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila ( kulia), akikabidhi tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha katika kitengo cha Mabenki yenye Ukubwa wa Kati kwa Mwaka 2024 zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), kwa Mkuu wa Uchambuzi wa Utendaji…

Read More