Mambo 11 yaliyoibeba sekta ya utalii dhidi ya Uviko-19
Dar es Salaam. Wakati sekta ya utalii duniani ikirejea katika nafasi iliyokuwapo kabla ya ugonjwa wa Virusi vya Korona (Uviko-19), haya hapa mambo 11 yaliyoibeba sekta hii kwa Tanzania. Mambo hayo kwa mujibu wa Ripoti yamechangia kuongezeka kwa mapato ya utalii nchini kwa asilimia 15.7 hadi kufikia dola za Kimarekani bilioni 3.903 (Sh10.15 trilioni) mwaka…