Wazazi wanaoshawishi wanafunzi darasa la saba kufanya vibaya waonywa

Shinyanga. Katibu Tawala Msaidizi Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mkoa wa Shinyanga, Mwalimu Samson Allute Hango, amewaonya wazazi wanaoshawishi wanafunzi kufanya vibaya katika mitihani yao ya mwisho, huku akiwapa matumaini wanafunzi kuwa mtihani utakuwa ndani ya yale waliofundishwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Septemba 9, 2025, wakati akitoa taarifa ya wanafunzi watakaofanya mtihani wa…

Read More

Wengine watatu warejesha fomu ZEC

Unguja. Watiania watatu wa kiti cha urais wamerejesha fomu Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) baada ya kukamilisha masharti yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria, ikiwamo kupata wadhamini 1,000 kutoka mikoa mitano iliyopo Unguja na Pemba. Idadi hiyo inafanya jumla ya vyama vinne kurejesha fomu za kuomba uteuzi kati ya 17 vilivyochukua fomu hizo vikitanguliwa na Chama…

Read More

Wadau nchi 18 kujadili tathmini utekelezaji mipango ya maendeleo

Mwanza. Washiriki zaidi 1,000 kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajiwa kushiriki Kongamano la kitaifa la Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza (MEL) litakalofanyika jijini Mwanza kuanzia Septemba 10 hadi 13, mwaka huu. Kongamano hilo litakalowakutanisha washiriki na wadau wa maendeleo kutoka nchi 18, litafunguliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano…

Read More

Mrufani alivyoepa kitanzi kesi ya mauaji ya bodaboda

Arusha. Mahakama ya Rufaa imemuachia huru, Charles Kidaha, aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kutiwa hatiani kwa mauaji ya dereva wa bodaboda, Frank Joseph. Awali, katika Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga, Kidaha pamoja na Kuzenza Jendesha na Joseph Mtema, walishtakiwa kwa mauaji Frank, yaliyodaiwa kufanyika Aprili 26, 2014. Charles alitiwa hatiani na kuhukumiwa kunyongwa hadi…

Read More

Sh800 milioni kujenga kiwanda cha cocoa Kyela

Mbeya. Wakati Chama Kikuu cha Ushirika (Kyela) kikitarajia kutumia zaidi ya Sh800 milioni kwenye ujenzi wa kiwanda cha kuchakata cocoa, wakulima wilayani humo wamesema hatua hiyo itafungua fursa za kiuchumi na uhakika wa bei. Pia, wamepongeza sera ya mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan aliyeahidi Serikali kuongeza nguvu katika ujenzi wa…

Read More

Rais Indonesia awafuta kazi mawaziri watano kutuliza waandamanaji

Jakarta. Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto amefanya mabadiliko katika wizara tano, hatua inayoelezwa inalenga kuwatuliza waandamaji. Taarifa iliyotolewa na kiongozi huyo inasema mabadiliko hayo yamechochewa na wananchi kutoridhishwa na hatua zilizochukuliwa na Serikali katika kushughulikia masilahi ya waandamanaji wanaoitaka Serikali kuchukua hatua kuhusu matatizo yanayoikabili jamii. Miongoni mwa mawaziri walioondolewa ni Waziri wa Fedha, Sri…

Read More