Shinda Mizunguko ya Bure Kila Siku Kupitia Wild White Whale – Global Publishers

Meridianbet, kinara wa michezo ya kubashiri Tanzania, anakukaribisha kwenye promosheni ya mwezi mzima kupitia mchezo wa kasino mtandaoni wa Wild White Whale. Kuanzia tarehe 01 hadi 31 Septemba, kila mchezaji aliyesajiliwa ana nafasi ya kujizawadia mizunguko 50 ya bure kila siku, kwa kukamilisha mizunguko 100 kwa pesa halisi. Hii si bahati nasibu. Haijalishi kama umeshinda…

Read More

Samia ataka Bahi, Manyoni wajiandae kutumia fursa za SGR

Manyoni. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Bahi mkoani Dodoma na Manyoni mkoani Singida kujiandaa kunufaika na fursa zitakazoletwa na mradi wa reli ya kisasa (SGR) itakayopita katika maeneo yao. Samia ametoa wito huo kwa nyakati tofauti alipotembelea majimbo ya Bahi na Manyoni, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano…

Read More

Tanesco kuokoa mabilioni iliyotumia kukodi vitendea kazi

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kuokoa Sh1.3 bilioni kila mwezi, zilizokuwa zikitumika kukodi vitendea kazi vinavyotumika kwenda kuwahudumia Watanzania katika mwaka wa fedha 2024/25. Kutokana na gharama hiyo, shirika limenunua bajaji 100, magari 100 na pikipiki 284 ambazo tayari zimeanza kugawiwa katika ofisi za mikoa na wilaya za Tanesco kote nchini…

Read More

DK.SAMIA: KITUO SGR,BANDARI KAVU KUIFUNGUA BAHI KIUCHUMI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Bahi MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Ujenzi wa kituo cha treni ya mwendo kasi (SGR) pamoja na bandari kavu zinazokwenda kujengwa Wilaya ya Bahi inakwenda kuvutia uwekezaji na kufungua fursa za ajira kwa vijana. Akihutubia maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Bahi…

Read More

Mabilioni kuwainua wakulima wa viungo Tanzania

Wafanyakazi katika kiwanda cha kuchakata viungo Cha Horizon Group wakitayarisha mazao hayo katika mji wa Kaduna. Nigeria. Wakulima wa Viungo nchini Tanzania, Nigeria na Madagascar watanufaika na mipango kabambe wa maboresho ya mazao hayo ili kukidhi viwango vya kimataifa na kukuza mauzo. WAKULIMA wa mazao ya viungo Tanzania wamepata neema mpya kufuatia uamuzi wa kampuni…

Read More

DK.SAMIA SULUHU HASSAN AWAAMBIA WANANCHI WILAYANI BAHI YAJAYO YANAFURAHISHA

Na Said Mwishehe,Dodoma MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suhusu Hassan amepokelewa na maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma huku akitumia nafasi hiyo kuwaeleza wana Bahi kwamba yajayo yanafurahisha. Akizungumza mapema leo Septemba 9,2025 na wananchi wa Wilaya ya Bahi akitokea Dodoma kuelekea mkoani Singida Dk.Samia Suluhu Hassan amepata nafasi…

Read More