TRA YASHINDA TUZO YA JUU YA UANDAAJI HESABU KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA
MAMLAKA ya Mapato tanzania (TRA), imeibuka Mshindi wa kwanza wa jumla katika tuzo ya Uandaaji wa Hesabu za Kifedha zinazozingatia viwango vya Kimataifa vya Uhasibu katika Sekta ya Umma (IPSAS), zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA). Pia imeibuka mshindi wa kwanza katika tuzo ya kipengele cha Taasisi za…