Ununuzi waongezeka, bei za bidhaa muhimu zikipaa

Dar/Mikoani. Masoko kadhaa nchini yameanza kushuhudia msongamano wa wanunuzi wa vyakula na bidhaa muhimu kufuatia hofu ya uwezekano wa kutangazwa marufuku ya kutembea kwa muda fulani kuelekea Desemba 9 mwaka huu. Mbali na ongezeko la ununuzi wa mahitaji ya msingi kama vyakula, Mwananchi pia imeshuhudia kupanda kwa bei za bidhaa za chakula katika baadhi ya…

Read More

DCEA Yang’ara Tena Uandaaji wa Taarifa za Fedha

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekuwa mshindi wa kwanza na kupewa tuzo ya umahiri katika utayarishaji bora wa taarifa za hesabu kwa mwaka 2024 kwa kufuata viwango vya Kimataifa vya Uandaaji wa Hesabu International Public Sectors Accounting Standards (IPSAS) katika kundi la Taasisi za Serikali zinazojitegemea. Tuzo hiyo imetolewa tarehe…

Read More

DCEA YAIBUKA KIDEDEA KATIKA UANDAAJI BORA WA HESABU 2024

 ::::::::: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekuwa mshindi wa kwanza na kupewa tuzo ya umahiri katika utayarishaji bora wa taarifa za hesabu kwa mwaka 2024 kwa kufuata viwango vya Kimataifa vya Uandaaji wa Hesabu International Public Sectors Accounting Standards (IPSAS) katika kundi la Taasisi za Serikali zinazojitegemea.  Tuzo hiyo imetolewa…

Read More

NBAA YATOA TUZO ZA UMAHILI KATIKA UANDAAJI WA TAARIFA ZA FEDHA YA MWAKA 2024 KWA MAKAMPUNI, TAASISI NA MASHIRIKA

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Laurent Deogratius Luswetula (Mb) akisoma hotuba ya utoaji wa Tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2024 (Best Presented Financial Statements for the Year 2024 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) zilizofanyika…

Read More

Ulanguzi tiketi wapamba moto kwa abiria

Dar es Salaam. Wingi wa abiria wanaosafiri kutoka Stendi Kuu ya Mabasi ya Magufuli kuelekea mikoa mbalimbali nchini umeibua mianya ya ulanguzi wa tiketi, hali inayowalazimu baadhi ya wasafiri kulipa nauli za juu kupita viwango halali. Ongezeko hili la mapema la abiria linachochewa na tetesi za maandamano yanayodaiwa kupangwa kufanyika Desemba 9. Kwa kawaida, changamoto…

Read More