Rais Trump Ahudhuria Kuagwa kwa Wanajeshi 6 Waliouawa Mashariki ya Kati – (Picha +Video)

Global Publishers March 8, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald Trump, amehudhuria hafla maalum ya kuwaenzi wanajeshi sita wa Marekani waliopoteza maisha yao kufuatia shambulio lililohusishwa na Iran katika kambi ya kijeshi nchini Kuwait. Hafla hiyo iliwakutanisha viongozi wa juu wa kijeshi, familia za wanajeshi waliouawa pamoja na maafisa wa serikali ya Marekani, ambapo…

Read More

Piga Pesa Mechi Zote na Meridianbet Leo

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa. LIGUE 1 kule Ufaransa itaendelea Lens atamenyana dhidi ya Metz ambao wapo nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa ligi. Mwenyeji anahitaji ushindi siku ya leo baada…

Read More

Kizimbani kwa kujifnya mtumishi wa HESLB

Kigoma. Mkazi wa jijini Mbeya Nickolaus Komba (30), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma, akikabiliwa na makosa manne, likiwamo la kujifanya Ofisa wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) na kuwatapeli watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Mtuhumiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Machi 6, 2026 mbele ya…

Read More

KCMC kuanza kutoa matibabu ya moyo rasmi 2027

Moshi. Wakati tafiti zikionesha asilimia 30 ya watu wanaougua matatizo ya moyo wanatoka Kanda ya Kaskazini, Hospitali ya KCMC, mkoani Kilimanjaro imepanga kutumia Sh25 bilioni kujenga kitengo cha matibabu ya moyo katika hospitali hiyo, kitachokuwa taasisi ya pili kwa ukubwa nchini. Ujenzi wa kitengo hicho unalenga kuboresha huduma za matibabu ya magonjwa ya moyo katika…

Read More

Biashara ndogondogo zilivyobeba matumaini ya wanawake

Dar es Salaam. Leo dunia inaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake, tukio linalotolewa heshima kwa wanawake kwa mchango wao katika familia, jamii na Taifa kwa jumla. Hii ni fursa ya kuangalia jinsi wanawake wa mijini Tanzania wanavyobadilisha maisha yao, wakipambana na changamoto za kila siku huku wakiimarisha kipato na nafasi yao kiuchumi. Katika mitaa ya…

Read More

WAZIRI ULEGA AWATAKA WANANCHI KUILINDA NCHI YAO

Na Mwandishi Wetu  Mbunge wa Jimbo la Mkuranga na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewataka wananchi wa Wilaya ya Mkuranga kuendelea kuilinda na kuitunza amani ya nchi.Ulega ameyasema hayo wakati wa futari iliyoandaliwa  kwa wananchi  wa Mkuranga pamoja na Watoto Yatima wa Wilaya hiyo ,amesema   mbezi mtukufu wa Ramadhan unatengeneza upendo na mshikamano wa taifa kwa…

Read More

Serikali yatoa Sh704 milioni kufunga transfoma Lindi

Mtwara. Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema Serikali imewekeza Sh704 milioni za kufunga transfoma ya ziada katika Kituo cha Kupooza Umeme cha Mahumbika mkoani Lindi ili kupunguza changamoto ya kukatika kwa umeme mara kwa mara Lindi na Mtwara. Aidha, waziri huyo amempa siku 14 mkandarasi anayetekeleza mradi wa kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220…

Read More