Mikopo inayotolewa na benki yaongezeka, Dar bado kinara

Dar es Salaam. Wakati mikopo inayotolewa na benki nchini ikiongezeka kwa asilimia 73.83 katika kipindi cha miaka minne, wakazi wa Dar es Salaam ndio wanufaika wakuu. Dar es Salaam kuwa kinara wa uchukuaji mikopo katika kipindi hicho kunatajwa kuchangiwa na uwepo wa shughuli nyingi za kibiashara, ufikiaji huduma na mazingira mazuri yaliyopo. Ripoti ya hali…

Read More

MACHIFU KUTUMIA MBINU ZA KIJADI KUWADHIBITI WANAOMBEZA RAIS SAMIA MITANDAONI … “TUNAKASIRISHWA SANA”

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mbalizi WAKATI mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Rais Dk.Samia Suluhu Hassan akiwa katika mkutano mkoani Mbeya machifu nchini wametangaza kuchukua hatua kwa njia za kimila kuwakomesha wale wote wanaobeza maendeleo na wengine kutoa lugha chafu kwa Rais Dk.Samia. Machifu wamesema katika mambo ambayo yanawakasirisha na kuona au kusikia Rais Samia akitukwana…

Read More

RAIS DK.SAMIA KUWAPA ZAWADI YA TAA ZA BARABARANI VIJANA JIJINI MBEYA ILI WAFANYE BIASHARA SAA 24

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mbeya  MGOMBEA Urais kwa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameahidi kuwapa zawadi ya taa za barabarani wananchi wa Jiji la Mbeya ili vijana waweze kufanya biashara saa 24. Dk.Samia ameyasema hayo leo Septemba 4,2025 alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi wa Mbeya Mjini akiwa katika mkutano wake wa kampeni kwa ajili ya…

Read More

Dk Nchimbi aahidi wazawa kushiriki uchimbaji madini, miradi ya maendeleo Kahama

Kahama. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema chama hicho kikitapata ridhaa ya kushika dola katika uchaguzi mkuu, kitahakikisha madini yote ya kimkakati yanachimbwa na Watanzania. Amesema, kama si wazawa kuchimba wao moja kwa moja basi ubia utakaoingiwa na wawekezaji utakuwa sawia ili rasilimali hiyo iwanufaishe zaidi wananchi. Dk…

Read More

Serikali yawasilisha ombi lingine kesi ya Boni Yai, Malisa

Dar es Salaam. Wakati kesi ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni inayomkabili Boniface Jacob maarufu Boni Yai na mwanaharakati Godlisten Malisa, ikisubiri uamuzi wa Mahakama Kuu ili kuendelea na usikilizwaji, Jamhuri imeomba kufanya mabadiliko ya kielelezo katika kesi hiyo. Usikilizwaji bado haujaanza baada ya Jamhuri kukata rufaa Mahakama Kuu kupinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu…

Read More