Namna ya kumsaidia mtoto anayemaliza darasa la saba
Dar es Salaam. Wakati wanafunzi wa darasa la saba wakitarajia kufanya mitihani yao ya kumaliza elimu ya msingi Septemba 10 na 11 mwaka huu, wadau wameainisha njia nzuri ya kuishi nao kwa miezi mitatu ijayo. Kipindi hiki cha likizo kinatajwa kuwa fursa nzuri kwa wazazi na walezi kusaidia kukuza vipaji vya watoto wao, hivyo kupata…