Serikali yatoa Sh704 milioni kufunga transfoma Lindi
Mtwara. Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema Serikali imewekeza Sh704 milioni za kufunga transfoma ya ziada katika Kituo cha Kupooza Umeme cha Mahumbika mkoani Lindi ili kupunguza changamoto ya kukatika kwa umeme mara kwa mara Lindi na Mtwara. Aidha, waziri huyo amempa siku 14 mkandarasi anayetekeleza mradi wa kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220…