WANAFUNZI 937,581 WAPANGIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2026

:::::::::: Serikali imetangaza majina ya wanafunzi 937,581 watakaojiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2026, wakiwemo wasichana 508,477 na wavulana 429,104. Hii ni hatua inayoonesha mafanikio makubwa katika kuhakikisha kila mwanafunzi aliyefaulu darasa la saba anaendelea na elimu ya sekondari. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Prof. Riziki…

Read More

DIWANI KATA YA KALANGALALA AKABIDHIWA OFISI

Viongozi wa kata ya Kalangalala katika halmashauri ya manispaa ya Geita leo Disemba 04, 2025 wamempokea diwani wa kata hiyo Reuben Sagayika katika hafla fupi iliyohudhuriwa na wenyeviti wa mitaa ya kata hiyo, wakuu wa idara za elimu, afya na maendeleo ya Jamii na baadhi ya walimu wa shule zilizopo katika kata hiyo. Hafla ya…

Read More

MTO UMBA KUFUNGUA MILANGO YA UTALII JIJINI TANGA .

  Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa kushirikiana na Uongozi wa Mkoa wa Tanga na Wilaya ya Mkinga umezindua rasmi na kuendesha zoezi la ulipaji wa fidia kwa wananchi wa kijiji cha Makota, kata ya Mwakijembe  wilayani Mkinga ili kupisha eneo tengefu la Mto Umba kujumuishwa ndani ya mpaka wa Hifadhi ya Taifa…

Read More

Waziri aonya ujenzi wa miradi chini ya kiwango

Unguja. Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Nadir Abdullatif amesema wizara hiyo haitomvumilia mkandarasi yeyote atakayefanya kazi za ujenzi chini ya kiwango kisichoheshimu mkataba wa makubaliano yao. Nadir ameyasema hayo leo Alhamisi Desemba 4, 2025 akiwa kwenye ziara ya kukagua ujenzi wa vituo vya kupokea na kupozea nishati ya umeme vilivyopo kisiwani Unguja. Amesema,…

Read More

NEMC YASAINI MAKUBALIANO YA AWALI NA UPS KUANZISHA MFUMO WA KIDIGITALI WA UFUATILIAJI WA UCHAFUZI WA MAZINGIRA

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesaini makubaliano ya awali na Kampuni ya United Platform Solution (UPS) kwa ajili ya kuanzisha mfumo wa kidigitali wa ufuatiliaji wa uchafuzi wa mazingira katika miradi yote ya maendeleo nchini. Hafla hiyo ya kusaini makubaliano hayo imefanyika Disemba 04,2025 katika ukumbi wa mikutano wa Baraza…

Read More

Wanaotibiwa saratani nje ya nchi wapungua

Musoma. Idadi ya wagonjwa wa saratani wanaopelekwa nje ya nchi kwa ajili ya tiba hasa bobezi imepungua kutoka wagonjwa 168 kwa mwaka katika kipindi cha miaka minne iliyopita hadi  wanne kwa mwaka kwa kipindi cha mwaka jana. Takwimu hizo zimetolewa mjini Musoma leo Alhamisi Desemba 4, 2025 na Mkurugenzi wa Huduma za Kinga katika Taasisi…

Read More