
Chaumma kuja na sera mbadala ya kilimo, SGR kufika Kaskazini
Kilimanjaro. Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amesema serikali ya chama hicho ikipewa ridhaa na wananchi kuongoza nchi, itaanzisha sera mpya na mbadala ya kuimarisha sekta ya kilimo kupitia skimu za kisasa za uzalishaji wa mazao ya parachichi na ndizi huku akisema reli ya kisasa itafika mikoa ya Kaskazini. Amesema…