Polisi yawatawanya Bawacha kwa mabomu ya machozi Musoma

Musoma. Polisi Mkoa wa Mara wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi na wanachama wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), waliokuwa wanajaribu kukusanyika kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani. Awali, Bawacha walipanga kufanya maadhimisho hayo kitaifa mjini Musoma leo Jumapili, Machi 8, 2026 kabla ya Jeshi la…

Read More

WANAWAKE WA TFS SAO HILL WAWAFARIJI WATOTO YATIMA MUFINDI

Mhifadhi Mkuu wa Shamba la Miti Sao Hill, PCO Tebby Yoramu akiwa anamfariji mtoto wa yatima wa kituo cha Caring from Childhood to Youth kilichopo katika kijiji cha Bumilayinga,wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani,Mhifadhi Mkuu wa Shamba la Miti Sao Hill, PCO Tebby Yoramu akiwa akikabidhi zawadi katika kituo cha watoto…

Read More

Msisimko wa Gates of Halloween Hauishi Meridianbet

NDANI ya ulimwengu wa burudani za mtandaoni, Meridianbet inaendelea kuleta uzoefu unaovuka mipaka ya kawaida kupitia mchezo wake wa kasino, Gates of Halloween. Mchezo huu umebeba mandhari ya Halloween kwa ubunifu wa kisasa, ukitoa hali ya kusisimua inayoweka mchezaji katikati ya hadithi ya kipekee. Kila mzunguko unajengwa kama tukio jipya, ukichanganya matarajio na burudani katika…

Read More

Meridianbet Yaboresha huduma Kwa Kumjumuisha Slotopia

SOKO la burudani ya kasino mtandaoni linazidi kujingezea nguvu baada ya Meridianbet kuiongeza Slotopia, mtoa huduma anayelenga kuwapa wachezaji bonasi na zawadi mara kwa mara. Kupitia Slotopia, Meridianbet inaleta uzoefu wa kipekee ambapo kila mzunguko si burudani tu, bali ni fursa halisi ya kuongeza ushindi kwani imeundwa kuhakikisha kila mchezaji anapata nafasi ya kushinda kwa…

Read More

Kila Mechi ni Nafasi ya Wewe Kukupatia Ushindi

USHINDI Mnono unakusubiri leo ndani ya Meridianbet kwani hapa unapata, Odds kubwa, Machaguo zaidi ya 1000 na mengine mengi. Ili kubashiri sasa ingia kwenye akaunti yako na ubashiri leo. LALIGA kule Hispania kuna mechi zinazoendelea Villarreal atamenyana dhidi ya Elche ambao wanashika nafasi ya 17 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 4 hadi sasa kwenye…

Read More

Wataalamu walaani kuwanyima watoto haki za msingi

Tanga. Wataalamu wa malezi na makuzi ya watoto mkoani Tanga wametahadharisha kuwa kuwanyima watoto haki zao za msingi za kucheza, kupumzika na kukua katika mazingira salama na yenye afya kunahatarisha maendeleo yao ya kimwili na kiakili. Wataalamu hao wanasema vitendo hivyo vinaweza kuathiri si tu ukuaji wa kimwili wa watoto, bali pia maendeleo yao ya…

Read More

WAZIRI MKUU AKAGUA UKARABATI WA UWANJA WA NDEGE WA SUMBAWANGA

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 08, 2026 amekagua maendeleo ya ukarabati na uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga uliopo mkoani Rukwa. Mradi huo ulianza kutekelezwa katika mwaka wa fedha 2023/2024 kwa gharama ya shilingi bilioni 60.1 na hadi sasa umefikia asilimia 96 ya utekelezaji. Akizungumza wakati wa ukaguzi huo, Dkt. Mwigulu amewapongeza…

Read More

Sintofahamu CUF, mwenyekiti mpya akosa mapokezi Kondoa

Dar es Salaam. Makundi yanayoendelea kukigawa Chama cha Wananchi (CUF) yameibuka tena, baada ya mwenyekiti mpya wa chama hicho, Mirambo Yusuf, kukosa mapokezi alipowasili Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma katika ziara yake ya kujitambulisha kwa wanachama na viongozi wa chama. Mbali na hali hiyo, alishindwa pia kufanya kikao cha ndani cha kamati ya wilaya baada…

Read More