Ericsson, Siemens kuongeza uwekezaji kwenye mtandao na nishati nchini
Dar es Salaam. Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi amefanya ziara katika makao makuu ya kampuni za Ericsson na Siemens Energy za Sweden kujadiliana kuhusu kuongeza uwekezaji na kuendelea kuleta teknolojia zao nchini. Balozi Matinyi aliitembelea kampuni ya Ericsson Septemba 2, 2025, jijini Stockholm na kuzungumza na viongozi na wataalamu wao, wakiongozwa na Ola…