Waziri aonya ujenzi wa miradi chini ya kiwango

Unguja. Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Nadir Abdullatif amesema wizara hiyo haitomvumilia mkandarasi yeyote atakayefanya kazi za ujenzi chini ya kiwango kisichoheshimu mkataba wa makubaliano yao. Nadir ameyasema hayo leo Alhamisi Desemba 4, 2025 akiwa kwenye ziara ya kukagua ujenzi wa vituo vya kupokea na kupozea nishati ya umeme vilivyopo kisiwani Unguja. Amesema,…

Read More

NEMC YASAINI MAKUBALIANO YA AWALI NA UPS KUANZISHA MFUMO WA KIDIGITALI WA UFUATILIAJI WA UCHAFUZI WA MAZINGIRA

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesaini makubaliano ya awali na Kampuni ya United Platform Solution (UPS) kwa ajili ya kuanzisha mfumo wa kidigitali wa ufuatiliaji wa uchafuzi wa mazingira katika miradi yote ya maendeleo nchini. Hafla hiyo ya kusaini makubaliano hayo imefanyika Disemba 04,2025 katika ukumbi wa mikutano wa Baraza…

Read More

Wanaotibiwa saratani nje ya nchi wapungua

Musoma. Idadi ya wagonjwa wa saratani wanaopelekwa nje ya nchi kwa ajili ya tiba hasa bobezi imepungua kutoka wagonjwa 168 kwa mwaka katika kipindi cha miaka minne iliyopita hadi  wanne kwa mwaka kwa kipindi cha mwaka jana. Takwimu hizo zimetolewa mjini Musoma leo Alhamisi Desemba 4, 2025 na Mkurugenzi wa Huduma za Kinga katika Taasisi…

Read More

VIJANA WATAKIWA KULINDA AMANI KUPITIA MSOMERA HISTORICAL MARATHON

  *Na MASHAKA MHANDO, Tanga WAKIMBIAJI wapatao 200, wengi wao wakiwa ni vijana, wanatarajiwa *kufukuza upepo* katika uzinduzi wa msimu wa kwanza wa ‘Msomera Historical Marathon’ utakaofanyika Desemba 13 mwaka huu katika Kijiji cha Msomera, wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga. Mbio hizo zimeanzishwa na Kampuni ya Mawasiliano na Uendelezaji Utamaduni nchini (yenye makao makuu Butiama,…

Read More

Dk Migiro asisitiza mazungumzo kuleta Taifa pamoja

Dodoma. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk Asha-Rose Migiro amesema huu ni wakati wa mazungumzo, kila mmoja anatakiwa kujiandaa kwa ajili ya mazungumzo. Dk Migiro amesema mazungumzo ndiyo yatakayosaidia kuwepo amani, lakini mambo hayo yanawezekana kupitia wanawake kama wataamua. Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Desemba 4, 2025 wakati akifungua Jukwaa la Wanawake 2025…

Read More

Wahitimu watakiwa kujiamini, kutumia maarifa kwa uadilifu

Dar es Salaam. Wahitimu wamehimizwa kuendeleza nidhamu, ustahimilivu na kujituma baada ya kupitia safari yenye changamoto nyingi lakini walidumu katika misingi hiyo. Wito huo umetolewa leo Desemba 4, 2025 na Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Dk Ali Mohamed Shein katika mahafari ya 24 ya chuo hicho tawi la Dar es Salaam yaliyofanyika Mlimani City. Amesema…

Read More

SGA yatwaa tuzo Chaguo la Mtumiaji Afrika 2025

Dar es Salaam. Kampuni ya Ulinzi ya SGA Security kwa mara nyingine imetajwa kuwa mtoa huduma za usalama anayeaminika zaidi Afrika na kutwaa tuzo ya chaguo la mtumiaji kwa mwaka 2025. Tuzo hiyo ilitangazwa kwenye Tamasha la Tuzo ya Chaguo la Mtumiaji Afrika kwa mwaka 2025 jijini Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali…

Read More

Pinda ataka tafiti za sayansi katika sekta ya kilimo

Arusha. Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda amezitaka  taasisi za kitafiti kuendelea kuimarisha nafasi ya sayansi, teknolojia, na ubunifu katika sekta ya kilimo ili kufanikisha malengo ya Taifa ya kuongeza Pato la Taifa kupitia sekta hiyo. Pinda  ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Kumshauri Rais katika masuala ya chakula na kilimo,  ametoa kauli hiyo leo…

Read More