Hatari wenza kutumiana picha za faragha

Dar es Salaam. Picha iliyotumwa kwa kuaminiwa kama ishara ya upendo, huenda ikageuka silaha ya fedheha, vitisho, visasi na kusababisha maumivu ya kudumu. Katika zama hizi za teknolojia, simu janja na mitandao ya kijamii imekuwa chombo cha kuwasiliana lakini pia imeibua tishio jipya la kisaikolojia na kijamii kusambazwa bila ridhaa kwa picha na video za…

Read More

Talaka yenu inawafunza nini watoto wenu?

Canada. Inakuwaje mtu anakuwa kiongozi mashuhuri, msomi aliyebobea au tajiri wa kutajwa, lakini anashindwa kuhimili ndoa yake?  Je, ni suala la majaliwa, mipango mibovu au ukweli mchungu kwamba binadamu hawezi kuwa na kila kitu kwa wakati mmoja?  Maswali haya yameendelea kuibuka kila tunaposikia habari za talaka katika familia zetu, hasa pale wahusika wanapokuwa watu wa…

Read More

Furahia ndoa duniani kabla ya mbinguni

Dar es Salaam. Katika jamii nyingi, ndoa imekuwa ikizungumziwa zaidi kama jukumu kuliko baraka, kama mzigo kuliko safari ya furaha. Watu wengi huingia kwenye ndoa wakiwa na matarajio ya kiroho zaidi ya kibinadamu. Wengi husema: “tutavumilia kwa ajili ya mbinguni, huku duniani ni mateso tu,” au “furaha ya kweli ipo baada ya maisha haya.” Mtazamo…

Read More

PROF. KABUDI AWAHIMIZA DIASPORA KUWEKEZA NCHINI TANZANIA

::::::: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba Kabudi, amewahimiza Watanzania wanaoishi nje ya nchi (Diaspora) kuendelea kuwekeza nchini na kushiriki kikamilifu katika juhudi za maendeleo ya taifa.  Amesema Watanzania walioko ughaibuni wana nafasi kubwa ya kuchangia ukuaji wa uchumi wa nchi kupitia mitaji, utaalamu na uzoefu walioupata nje ya nchi. Prof….

Read More

Jua tofauti za mitazamo kati ya wanawake na wanaume

Dar es Salaam. Kwa muda mrefu, wanaume na wanawake wamekuwa na mitazamo tofauti kuhusu namna wenzao wanavyofikiri, kuhisi na kutenda. Mitazamo hii mara nyingi imejenga vichekesho, mshangao, migogoro na wakati mwingine kutoelewana katika uhusiano. Wanawake, kwa upande wao, wamekuwa wakieleza kuwa wanaume hawawezi kuzieleza hisia zao vya kutosha. Kwao, mwanaume huonekana kufunga milango ya moyo…

Read More

Mzazi tambua mipaka ya kusaka maisha, malezi ya watoto

Dar es Salaam. Katika ulimwengu wa leo, wazazi wengi wanajikuta wakiwa katika mbio zisizokwisha za kutafuta maisha bora. Gharama za elimu, matibabu, makazi na mahitaji mengine ya msingi zimeongezeka. Hivyo, hali hiyo huwalazimu wazazi wengi kutumia muda mwingi kazini au katika shughuli za kujiongezea kipato. Hata hivyo, swali la msingi linalopaswa kujiuliza ni hili: Je,…

Read More

Anapenda sana ‘mchezo’ nahisi kuishiwa nguvu

Anti siyo kama ninajihami ila naona kabisa ubavu wangu ni mdogo kumtosheleza huyu nimpendaye. Kwanza kila akikaa anasema anapenda mwanaume mwenye maumbile makubwa, nikitazama yangu nakataa tamaa kabisa. Pia anapenda sana mambo hayo, nisipojizungusha kutwa moja anaweza kuhitaji hiyo huduma zaidi ya mara tano. Mwanzoni nilijua ni ugeni, lakini tuna mwaka sasa kazi ni hiyo…

Read More

Rais Samia atoa ujumbe wa siku ya wanawake duniani

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amehimiza kuendeleza juhudi za kuhakikisha wanawake na wasichana wanapata haki na usawa ili kuchochea maendeleo jumuishi ya Taifa. Rais Samia ametoa wito huo leo Machi 8, 2026 katika ujumbe wake kwa Taifa wa  maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, akieleza  siku hii ni muhimu kwa kutambua mchango mkubwa…

Read More