Magari 15 Yanaswa kwa Kubeba Namba Moja ‘SSH 2530’ – Video – Global Publishers
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekamata jumla ya magari 15 kwa kosa la kubandika namba za usajili bandia “SSH 2530”, kinyume cha sheria za usalama barabarani. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Septemba 04, 2025, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro, alisema…