TANAPA SPORT AND HEALTH DAY

Na Pamela Mollel,Arusha. Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limefanya bonanza la michezo maalum lijulikanalo kama “TANAPA Sport and Health Day” leo tarehe 7 Machi, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka tarehe 8 Machi. Lengo la bonanza hilo ni kuhamasisha mazoezi, kuimarisha afya na…

Read More

WANANCHI ZAIDI YA 13,000 WANUFAIKA NA SAMIA ARDHI KLINIKI NCHINI

Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Leonard Akwilapoamesema jumla ya wananchi 13,550 wamejitokeza kupata huduma mbalimbali za sekta ya ardhi kupitia Samia Ardhi Kliniki iliyofanyika katika mikoa yote 26 nchini. Dkt. Akwilapo amesema hayo wakati akifunga rasmi Samia Ardhi Kliniki katika viwanja vya Mashujaa mkoani Mtwara tarehe 7…

Read More

Rais Trump Ahudhuria Hafla ya Kuaga Wanajeshi 6 Waliouawa Mashariki ya Kati – (Picha +Video)

Global Publishers March 8, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald Trump, amehudhuria hafla maalum ya kuwaenzi wanajeshi sita wa Marekani waliopoteza maisha yao kufuatia shambulio lililohusishwa na Iran katika kambi ya kijeshi nchini Kuwait. Hafla hiyo iliwakutanisha viongozi wa juu wa kijeshi, familia za wanajeshi waliouawa pamoja na maafisa wa serikali ya Marekani, ambapo…

Read More

Marietha anavyojitegemea kupitia kazi ya bodaboda

Dar es Salaam. Akiwa amekulia katika mazingira ya kawaida ya kifamilia mkoani Manyara, alilazimika kuagana na nyumbani kwao, ndugu na marafiki, akibeba matumaini moyoni, akiamini kuwa jiji kubwa la Dar es Salaam lingeweza kufungua ukurasa mpya wa maisha yake. Hakukuwa na uhakika wa kazi wala ndugu wa karibu wa kumtegemea, kilichomsukuma ni shauku ya kujitegemea…

Read More

Safari ya milima na mabonde ya wanawake Tanzania

Dar es Salaam. Zaidi ya nusu karne tangu kuanzishwa kwa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Tanzania imepiga hatua kadhaa katika kuinua nafasi ya wanawake katika nyanja mbalimbali za kijamii na kiuchumi. Hata hivyo, pamoja na mafanikio hayo, changamoto kama mfumo dume, ukosefu wa fursa sawa na vitendo vya ukatili wa kijinsia bado vinaendelea kuwa…

Read More