Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Habari

  • Home
  • Habari
  • Page 2,730
Habari

MATUMIZI YA MFUMO WA E-BOARD UNAPUNGUZA GHARAMA-DED ILEMELA

April 24, 2024 Admin

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi. Ummy Mohammed Wayayu,akizungumza kuhusu mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali vya

Read More
Habari

Exim yawainua kiuchumi wanawake wajasiriamali kupitia mpango wa WEP

April 24, 2024 Admin

  BENKI ya Exim kupitia Mpango wake wa Kuwawezesha Kiuchumi Wanawake (WEP), imetoa mafunzo kuhusu masuala ya ujasiriamali, biashara, na uwezeshaji kwa wanawake wajasiriamali kama

Read More
Habari

Exim Bank yaendelea kuwainua kiuchumi wanawake wajasiriamali kupitia mpango wa WEP – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 24, 2024 Admin

Stanley Kafu, Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Exim Bank, akizungumza wakati wa mahafali ya pili ya mpango endelevu wa kuwainua kiuchumi wanawake wajasiriamali ujulikanao

Read More
Habari

RUFAA YA BENKI YA EQUITY TANZANIA NA KENYA DHIDI YA KAMPUNI YA MAFUTA YA STATE OIL YASOGEZWA MBELE

April 24, 2024 Admin

MAHAKAMA ya Rufani leo imeshindwa kuendelea na usikilizwaji wa shauri la rufaa lililokatwa na Benki ya Equity Bank Tanzania Limited na Equity Bank Kenya Limited

Read More
Habari

WAZIRI MAVUNDE ATAKA KILA MMOJA KUFUATILIA HADHI YA MAOMBI AU LESENI ZAKE

April 24, 2024 Admin

Waziri wa Madini, Mhe.Anthony Mavunde,akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 24,2024 jijini Dodoma. …………… Waziri wa Madini, Mhe.Anthony Mavunde amebainisha kwamba Serikali kupitia Tume

Read More
Habari

Maelfu ya raia Bangladesh wakusanyika kwenye ibada kuomba kupata mvua

April 24, 2024 Admin

Maelfu ya raia wa Bangladesh walikusanyika kuombea mvua siku ya Jumatano katikati ya wimbi kubwa la joto lililosababisha mamlaka kufunga shule kote nchini. Utafiti wa

Read More
Habari

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

April 24, 2024 Admin

  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ametaja vipaumbele saba vya bajeti ya wizara yake ambavyo ni pamoja na kuendelea kutekeleza

Read More
Habari

Mloganzila mguu sawa upasuaji wa kuongeza makalio

April 24, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila ikitarajia kufanya upasuaji wa kurekebisha maumbile Mei 2024, imeelezwa wanawake wenye uhitaji wa huduma hiyo ni wengi,

Read More
Habari

RIDHIWANI -WANAFUNZI SOMENI KWA BIDII, ELIMU NDIO NGUO YA MAISHA

April 24, 2024 Admin

Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amewataka wanafunzi na vijana kuacha matumizi mabaya ya

Read More
Habari

JKCI IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA MATIBABU MAJUMBANI

April 24, 2024 Admin

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeanza kutoa huduma ya kuwafuata  wagonjwa manyumbani mwao na kuwapa tiba ili kupunguza vifo vya ghafla pamoja na kuokoa muda

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 2,729 2,730 2,731 … 2,755 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.