Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Habari

  • Home
  • Habari
  • Page 2,738
Habari

Nukuu za Lowassa, Mwinyi zilivyobeba hotuba ya Simbachawene

April 19, 2024 Admin

Dodoma. Waziri George Simbachawene ametumia nukuu za viongozi wa zamani, Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Edward Lowassa kuhimiza haki za raia, kujali usawa wa binadamu

Read More
Habari

Shangingi lililosafirisha wahamiaji haramu Manyara lataifishwa

April 19, 2024 Admin

Babati. Gari aina ya Toyota Land Cruiser V8 VXR maarufu kama Shangingi lililotumika kuwabeba Waethiopia 17 walioingia nchini bila vibali na kutelekezwa Babati mkoani Manyara,

Read More
Habari

Suala la ndoa kuvunjika latinga tena bungeni

April 19, 2024 Admin

Dodoma. Mbunge wa Same Magharibi, Dk David Mathayo amehoji Serikali ina mpango gani wa kutoa elimu kwa Watanzania kuonyesha umuhimu wa watoto kulelewa na wazazi

Read More
Habari

Tanesco kuajiri 430, wamo mafundi mchundo

April 19, 2024 Admin

Dodoma. Bunge limeelezwa kuwa watumishi 430 wataajiriwa na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) katika mwaka 2024/25. Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema hayo leo

Read More
Habari

Kauli ya Serikali ulipaji fidia katika upanuzi wa barabara

April 19, 2024 Admin

Dodoma. Serikali imesema tathmini iliyofanyika nchini inaonyesha gharama kubwa ya fidia ya mali zilizomo ndani ya eneo la hifadhi ya barabara lililoongezwa la mita 7.5

Read More
Habari

Ogolla, CDF wa kwanza kufa madarakani Kenya

April 19, 2024 Admin

Nairobi. Jenerali Francis Omondi Ogolla amekuwa mkuu wa kwanza wa vikosi vya ulinzi nchini Kenya kufariki dunia akiwa madarakani, baada ya ajali ya helikopta iliyoua

Read More
Habari

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya, yapata kitanda cha upasuaji cha kisasa

April 19, 2024 Admin

Mbeya. Hospital ya Rufaa Kanda ya Mbeya (MZRH) imepokea kitanda cha kisasa cha upasuaji chenye thamani ya Sh37 milioni ambacho kinatumia mifumo ya kidigitali na

Read More
Habari

Jaji Makaramba: Vyombo vya habari ni msingi wa  usalama wa Taifa lolote

April 19, 2024 Admin

Dar es Salaam. Jaji mstaafu, Robert Makaramba amesema kuheshimu na kulinda uhuru wa wanahabari ndiyo msingi wa usalama wa Taifa lolote duniani. Amesema kuminya  uhuru

Read More
Habari

Mbunge adai  Rais mstaafu Zanzibar anaishi kwenye hali ngumu

April 19, 2024 Admin

Dodoma. Mbunge wa Baraza la Wawakilishi, Suleiman Haroub Suleiman amesema Rais mstaafu wa Zanzibar, Dk Salmin Amour Juma anaishi katika hali ngumu baada ya nyumba

Read More
Habari

Mambo saba usiyopaswa kufanya baada ya kula

April 19, 2024 Admin

Dar es Salaam. Chakula ni muhimu kwa afya njema na kuna misingi inatakiwa kufuatwa ili kuepukana na madhara yatakayosababishwa baada ya kula chakula. Wataalamu wanaelezea

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 2,737 2,738 2,739 … 2,745 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.