Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Habari

  • Home
  • Habari
  • Page 2,745
Habari

Serikali yaweka wazi juu uraia pacha

April 18, 2024 Admin

Ramadhan Hassan,Dodoma SERIKALI imesema haipo tayari kutumia uraia pacha ila hivi karibuni itaanza kutumia utaratibu wa hadhi maalum ambao utatoa fursa kwa wenye asili ya

Read More
Habari

Msigwa akabidhiwa fomu, asema hana nia kugombea uongozi Chadema Taifa

April 18, 2024 Admin

Iringa. Hatimaye mgombea wa nafasi ya uenyekiti Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa amekabidhiwa fomu ya kuwania nafasi hiyo. Wanawake wa Chadema Mkoa wa Iringa

Read More
Habari

Namna makachero walivyomdaka mwizi wa bastola

April 18, 2024 Admin

Moshi. Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Benedicto Petro aliyeongoza timu ya makachero kuwakamata washtakiwa wa kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, ameeleza namna walivyomkamata mshtakiwa wa

Read More
Habari

Waziri asimulia alivyosaidiwa kusomeshwa na Sokoine

April 18, 2024 Admin

Arusha. “Siku zote nimekuwa nikiamini huyu baba mzalendo wa kweli amekuwa na dhamana kubwa katika maisha yangu, naona Mungu alimtuma ninyanyuke katika familia yetu ya

Read More
Habari

Rais Dk. Samia atunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima nchini Uturuki

April 18, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Chuo Kikuu cha Ankara cha nchini Uturuki, kimemtunuku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Shahada

Read More
Habari

Mbowe, Lissu watakavyoongoza maandamano ya amani Chadema

April 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ikiwa zimepita siku 54 baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufanya maandamano ya amani katika mikoa ya Dar es Salaam,

Read More
Habari

TBS YAWATAKA WAFANYABIASHARA WA VIPODOZI KUSAJILI BIDHAA ZAO KABLA HAZIJAINGIA SOKONI – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WAFANYABIASHARA wa bidhaa za Vipodozi nchini wametakiwa kufanya maombi ya  usajili wa bidhaa  hizo kabla ya kuziingiza katika soko la

Read More
Habari

Ubaruku, Mbarali wafurika kumlaki Dk. Nchimbi

April 18, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amepokelewa kwa shangwe na nderemo na wananchi wa Mbarali, wakiongozwa na

Read More
Habari

Zaidi ya tani 200,000 za korosho zasafirishwa nje ya nchi kupitia Bandari ya Mtwara

April 18, 2024 Admin

Mtwara. Tani 244,680 za korosho ghafi zenye thamani ya Sh454 bilioni zimezalishwa nchini huku tani 229,544 zikisafirishwa nje ya nchi kwa kutumia Bandari ya Mtwara

Read More
Habari

Galaxy AI Now Supports More Languages with Latest Update – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

    Samsung Electronics Co., Ltd. today announced the upcoming expansion of three new languages for Galaxy AI: Arabic, Indonesian, and Russian, as well as three new dialects: Australian

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 2,744 2,745 2,746 … 2,748 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.