Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Habari

  • Home
  • Habari
  • Page 2,746
Habari

Serikali ya Tanzania kufuta leseni za utafiti wa madini zisizofanyiwa kazi

April 18, 2024 Admin

Dodoma. Serikali ya Tanzania inakusudia kufanya mapitio ya leseni za utafiti wa madini ili kuzifuta zitakazobainika hazifanyi kazi au hazijalipiwa, lengo likiwa ni kutwaa maeneo

Read More
Habari

ORYX GAS,ASAS WATOA MKONO WA POLE WAATHIRIKA WA MAFURIKO WILAYANI RUFIJI – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu   KAMPUNI ya Oryx Gas kwa kushirikiana na Kampuni ya ASAS wamekabidhi msaada wa vyakula na mitungi ya gesi ya Oryx kuwasaidia

Read More
Habari

Hivi ndivyo Tanzania inavyoweza kukabili athari za mafuriko

April 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Uwepo wa utashi wa kisiasa, matumizi ya sayansi kupewa nafasi na kubainishwa kwa maeneo hatarishi ni miongoni mwa hatua zilizopendekezwa na wanazuoni

Read More
Habari

MIAKA MITATU (3) YA DKT. SAMIA YANUFAISHA WAKAZI WA MANISPAA YA BUKOBA. – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

Zaidi ya shilingi Bilioni 15 zimetolewa na Serikali kuu kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera na

Read More
Habari

Chanzo ongezeko la vifo, ajali za barabarani Zanzibar

April 18, 2024 Admin

Unguja. Uchumi wa nchi yoyote unategemea zaidi miundombinu bora, kurahisisha usafiri na usafirishaji. Miongoni mwa miundombinu hiyo ni ya barabara nzuri, imara zenye alama kwa

Read More
Habari

WANAWAKE VIONGOZI WAHIMIZWA KUTUMIA MITANDAO KWA TIJA KUWALETEA MAENDELEO – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MOROGORO   WANAWAKE viongozi na vijana wanasiasa wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa tija kwa lengo la kupeana taarifa na kuondokana na

Read More
Habari

Majaliwa aagiza mrejesho wa michango ya maafa kwa jamii

April 18, 2024 Admin

Dodoma. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewaagiza wakuu wa mikoa  na wilaya kutekeleza wajibu wao wa kutoa mrejesho kwa jamii juu ya michango, kazi

Read More
Habari

SERIKALI YABAINISHA MPANGO WA KUWASAIDIA WAJASIRIAMALI KUZALISHA BIDHAA BORA – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biasha, Exaud Kigahe amebainisha mpango wa Serikali katika kuwasaidia wajasiriamali kuzalisha bidhaa bora ili kupata masoko ya uhakika. Akijibu swali

Read More
Habari

CCM yachangia Sh milioni 10 kwa wanachi waliopatwa na maafa ya maporomoko ya Mlima-Itezi

April 18, 2024 Admin

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi , amewatembelea wananchi waliopatwa na maafa ya kuharibikiwa kwa nyumba na mali zao mara

Read More
Habari

Huduma ya maji yarejeshwa Hanang, wakazi 26,900 kunufaika

April 18, 2024 Admin

Hanang. Baada ya uharibifu wa miundombinu ya maji Wilaya ya Hanang mkoani Manyara uliosababishwa na maporomoko ya udongo, Shirika la WaterAid Tanzania limekarabati chanzo cha

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 2,745 2,746 2,747 2,748 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.