Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Habari

  • Home
  • Habari
  • Page 2,748
Habari

MIAKA MITATU (3) YA DKT. SAMIA YANUFAISHA WAKAZI WA MANISPAA YA BUKOBA. – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

Zaidi ya shilingi Bilioni 15 zimetolewa na Serikali kuu kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera na

Read More
Habari

Chanzo ongezeko la vifo, ajali za barabarani Zanzibar

April 18, 2024 Admin

Unguja. Uchumi wa nchi yoyote unategemea zaidi miundombinu bora, kurahisisha usafiri na usafirishaji. Miongoni mwa miundombinu hiyo ni ya barabara nzuri, imara zenye alama kwa

Read More
Habari

WANAWAKE VIONGOZI WAHIMIZWA KUTUMIA MITANDAO KWA TIJA KUWALETEA MAENDELEO – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MOROGORO   WANAWAKE viongozi na vijana wanasiasa wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa tija kwa lengo la kupeana taarifa na kuondokana na

Read More
Habari

Majaliwa aagiza mrejesho wa michango ya maafa kwa jamii

April 18, 2024 Admin

Dodoma. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewaagiza wakuu wa mikoa  na wilaya kutekeleza wajibu wao wa kutoa mrejesho kwa jamii juu ya michango, kazi

Read More
Habari

SERIKALI YABAINISHA MPANGO WA KUWASAIDIA WAJASIRIAMALI KUZALISHA BIDHAA BORA – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biasha, Exaud Kigahe amebainisha mpango wa Serikali katika kuwasaidia wajasiriamali kuzalisha bidhaa bora ili kupata masoko ya uhakika. Akijibu swali

Read More
Habari

CCM yachangia Sh milioni 10 kwa wanachi waliopatwa na maafa ya maporomoko ya Mlima-Itezi

April 18, 2024 Admin

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi , amewatembelea wananchi waliopatwa na maafa ya kuharibikiwa kwa nyumba na mali zao mara

Read More
Habari

Huduma ya maji yarejeshwa Hanang, wakazi 26,900 kunufaika

April 18, 2024 Admin

Hanang. Baada ya uharibifu wa miundombinu ya maji Wilaya ya Hanang mkoani Manyara uliosababishwa na maporomoko ya udongo, Shirika la WaterAid Tanzania limekarabati chanzo cha

Read More
Habari

FCT YASIKILIZA NA KUTOLEA MAAMUZI MASHAURI 429 – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Daniel Machunda amewaomba wadau wote kuendeleza ushirikiano na Baraza la Ushindani ( FCT) katika kuongeza uzoefu, ufanisi katika

Read More
Habari

Rais Samia kutunukiwa Udaktari wa Heshima na Chuo Kikuu cha Ankara-Uturuki

April 18, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Baraza la Chuo Kikuu cha Ankara ambacho ni cha pili kwa ukubwa nchini Uturuki, limeamua kwa pamoja kumtunuku Rais wa

Read More
Habari

Kizungumkuti ununuzi magari ya ma-RC, DC

April 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Seriali za Mitaa (Tamisemi),  ikipanga kutumia Sh190.57 bilioni kwa ajili ya ununuzi wa magari

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 2,747 2,748 2,749 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.