Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Habari

  • Home
  • Habari
  • Page 2,754
Habari

CCM yachangia Sh milioni 10 kwa wanachi waliopatwa na maafa ya maporomoko ya Mlima-Itezi

April 18, 2024 Admin

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi , amewatembelea wananchi waliopatwa na maafa ya kuharibikiwa kwa nyumba na mali zao mara

Read More
Habari

Huduma ya maji yarejeshwa Hanang, wakazi 26,900 kunufaika

April 18, 2024 Admin

Hanang. Baada ya uharibifu wa miundombinu ya maji Wilaya ya Hanang mkoani Manyara uliosababishwa na maporomoko ya udongo, Shirika la WaterAid Tanzania limekarabati chanzo cha

Read More
Habari

FCT YASIKILIZA NA KUTOLEA MAAMUZI MASHAURI 429 – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Daniel Machunda amewaomba wadau wote kuendeleza ushirikiano na Baraza la Ushindani ( FCT) katika kuongeza uzoefu, ufanisi katika

Read More
Habari

Rais Samia kutunukiwa Udaktari wa Heshima na Chuo Kikuu cha Ankara-Uturuki

April 18, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Baraza la Chuo Kikuu cha Ankara ambacho ni cha pili kwa ukubwa nchini Uturuki, limeamua kwa pamoja kumtunuku Rais wa

Read More
Habari

Kizungumkuti ununuzi magari ya ma-RC, DC

April 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Seriali za Mitaa (Tamisemi),  ikipanga kutumia Sh190.57 bilioni kwa ajili ya ununuzi wa magari

Read More
Habari

Samsung’s Vision for an Intelligent Health Platform – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

By Dr. Hon Pak, Vice President and Head of Digital Health Team, MX Business at Samsung Electronics Today, more than ever, people are defining their own wellness

Read More
Habari

BoT kutoa elimu ya fedha shuleni

April 18, 2024 Admin

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Benki Kuu ya Tanzania(BoT) imedhamiria kutoa elimu ya fedha kuanzia ngazi ya elimu msingi hadi vyuo vikuu kuwawezesha vijana kuwa

Read More
Habari

Mwongozo kwa wanaojitolea waja | Mwananchi

April 18, 2024 Admin

Dodoma. Serikali ya Tanzania inakamilisha mwongozo kwa vijana wanaojitolea utakaiwawezesha kupatiwa malipo wakati wa utumishi wao. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa

Read More
Habari

BAJETI YA TAMISEMI YAWAPA MATUMAINI WANAHARAKATI WA JINSIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

ONGEZEKO la fedha shilingi Trilioni 10 kwenye bajeti ya Wizara ya Tamisemi imeibua matumaini kwa Wanaharakati wa masuala ya kijinsia ambapo wanatarajia itakwenda kutoa chachu

Read More
Habari

Muhimbili yapokea mashine ya uchunguzi saratani ya matiti

April 18, 2024 Admin

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH) imepokea mashine maalumu Mammography aina ya Senographe Pristina 3D yenye thamani ya milioni 800 kwa ajili

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 2,753 2,754 2,755 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.