Wastaafu CCM wampigia chapuo Samia, urais 2025

Dodoma. Viongozi wastaafu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Serikali wamemwelezea mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan, kama chaguo bora katika nafasi hiyo, huku wakiwataka wananchi kwenda kumpigia kura, ili aendelee kuliongoza taifa. CCM kinaendelea na kampeni katika maeneo mbalimbali, na tangu kilipozindua kampeni zake Agosti 28, tayari mgombea huyo urais amefanya kampeni…

Read More

Profesa Lipumba: Tumemleta mshindani thabiti kutoka CUF

Mwanza. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema chama hicho kimemteua mgombea urais thabiti ambaye ni kiboko na atakitetemesha Chama cha Mapinduzi (CCM). ‎CUF inawakilishwa na mgombea urais, Gombo Samandito Gombo na mgombea mwenza, Husna Mohamed Abdallah. ‎Lipumba ametoa kauli hiyo leo Jumapili Agosti 31, 2025 wakati akiwatambulisha wagombea hao kwenye uzinduzi…

Read More

Mikataba hewa, marejesho yawatesa bodaboda

Mbeya. Waendesha pikipiki ‘bodaboda’ jijini Mbeya wamesema ili kupunguza wimbi la ajali za mara kwa mara barabarani ni kuwapo mikataba rasmi na mikopo isiyoumiza. Wamesema chanzo cha wao kutajwa kuwa chanzo cha ajali za barabarani ni kuwahi abiria ili kukusanya marejesho ya waajiri wao na kukamilisha mikopo waliyonayo. Wakizungumza katika hafla fupi ya maadhimisho ya…

Read More

CCM yaahidi kilimo cha kisasa, skimu za umwagiliaji

Kondoa. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeahidi kuanzisha mashamba makubwa ya kilimo cha kisasa katika eneo la Pahi lililopo Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma. Mashamba hayo yatawekewa skimu za umwagiliaji ili kuwawezesha wakulima kulima mara mbili kwa mwaka, jambo litakalochochea uzalishaji mkubwa na kuongeza fursa za ajira kwa vijana. Hayo yamebainishwa na mgombea urais wa chama…

Read More

Wakati upi sahihi mzazi ‘kuingilia’ ndoa ya mwanawe?

Ndoa, kwa mtazamo wa kitamaduni na kidini, mara nyingi huonekana kama muungano wa watu wawili waliovuka mipaka ya familia walizotoka.Mara mtoto anapooa au kuolewa, inakubalika kuwa rasmi anaingia katika makubaliano yanayomtenganisha na wazazi wake na kumuunganisha na mtu mwingine anayewajibika kwake.Hili linatokana na imani kwamba ndoa ni taasisi huru ambapo wazazi hawapaswi kuingilia maamuzi ya…

Read More