Ramaphosa katika mtanziko Afrika Kusini

Katika Uchaguzi Mkuu wa Mei 29, 2024 nchini Afrika Kusini, chama tawala cha African National Congress (ANC) kilikabiliwa na changamoto kubwa zaidi kuwahi kutokea tangu kumalizika kwa utawala wa ubaguzi wa rangi. Matokeo ya uchaguzi huo yalionyesha kuporomoka kwa umaarufu wa ANC, hivyo kukosa wingi wa kura unaohitajika kuunda serikali peke yake. Hali hii imekilazimu…

Read More

CCM YASISITIZA UMUHIMU WA KUKUZA SEKTA BINAFSI,UWEKEZAJI

Na Mwandishi Wetu,Tanga CHAMA Cha Mapinduzi (CCM)kimesema kwamba hakutakuwa na mabadiliko ya kweli katika kukuza uchumi wa nchi, endapo sekta binafsi hazitapewa kipaumbele katika uwekezaji nchini. Hayo yamesemwa leo Juni 8, 2024 jijini  Tanga na  Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi alipokuwa akizindua Kiwanda cha kuzalisha nyaya za umeme na…

Read More

Simulizi binti alivyochomwa moto kwa tuhuma za wizi

Mwanza. “Saa sita usiku wa kuamkia Jumapili, nilipokea simu nikaelezwa mdogo wako ana shida. Nikakodi pikipiki, nilipofika kwa bibi nikabaini ameunguzwa kwa moto.” Ndivyo anavyoanza simulizi Joseph Semando, mkazi wa Kijiji cha Idetemiha, Kata ya Usagara akisimulia tukio la mfanyakazi wa ndani kumwagiwa mafuta ya taa na kuchomwa moto. Tukio hilo alilotendewa Grace Joseph (17)…

Read More

Samia agawa matrekta ya milioni 246 Namtumbo

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa matrekta matatu yenye thamani ya Sh 246 milioni ambayo yana jembe la kulimia, jembe la haro pamoja na tela katika Wilaya ya Namtumbo ili kukuza kilimo katika wilaya hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Rais Samia ametoa matrekta hayo kupitia Wizara ya Kilimo ambapo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali…

Read More

Othman ahamasisha mageuzi matumizi ya rasilimali

Pemba. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema wananchi hawapaswi kukata tamaa badala yake washirikiane kupigania mageuzi yatakayosaidia kuzitumia rasilimali zilipo nchini na kuleta neema ya kiuchumi. Othman ameyasema hayo Juni 7, 2024 katika Baraza ya Mtemani Wete, iliyopo Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, alipozungumza na wafanyabiashara wadogowadogo, wanabaraza na wananchi….

Read More

RIPOTI MAALUM: Janga, Kwa nini kamari zinaongezeka licha ya athari mbaya? – 2

KATIKA mfululizo wa ripoti maalumu hii juu ya uraibu wa michezo ya kamari nchini, tuliona namna watoto wenye umri chini ya miaka 18 wanavyojiingiza, licha ya kuwepo kwa sheria kali zinazowazuia kujihusisha nayo. Tuliona namna watoto hususan wanafunzi wanavyotumia fedha wanazopewa na wazazi ili kutumia shuleni wakiziteketeza kwenye mashine za kamari maarufu kama Dubwi kwa…

Read More