Polisi waendelea kumng’ang’ania Malisa | Mwananchi

Moshi. Wakati Jeshi la Polisi likiendelea kumshikilia Godlisten Malisa, mwanaharakati na mkurugenzi wa GH Foundation katika Kituo Kikuu cha Polisi Moshi mkoani Kilimanjaro, Msemaji wa Taasisi hiyo, James Mbowe amedai kuwa mwanaharakati huyo amepata changamoto za kiafya akiwa kituoni hapo.  Malisa alikamatwa jana Juni 6, 2024 muda mfupi baada ya kesi inayowakabili yeye na meya…

Read More

Waziri aelekeza wenye kipato duni wapate msaada wa kisheria

Mbeya. Waziri wa Sheria na Katiba, Pindi Chana ameagiza  wasaidizi wa kisheria ngazi za jamii kuboresha upatikanaji wa haki kwa wananchi wasio na uwezo ili kutatua changamoto za mirathi, migogoro ya ardhi, ndoa na ukatili wa kijinsia. Sambamba na hilo, ameagiza taasisi na mashirika ya kidini yanayotoa huduma yasajiliwe na kuingizwa kwenye mifumo ya kidijitali,…

Read More

PURA yashiriki hotuba ya bajeti Zanzibar

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeshiriki kama mgeni mwalikwa katika wasilisho la hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi kwa mwaka 2024/2025. Wasilisho hilo ndani ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar limefanywa Juni 07, 2024 na Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi, Mhe….

Read More

Aliyemlisha mkewe kinyesi atupwa jela miezi 12

Musoma. Jeshi la Polisi mkoani Mara limewafikisha mahakamani watuhumiwa 36 wa makosa mbalimbali ya ukatili wa kijinsia, akiwemo Nyaikorongo Mwita aliyedaiwa kumlisha kinyesi mke wake, baada ya kumpiga na kumjeruhi. Akisimulia tukio hilo leo Ijumaa Juni 7, 2024 wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi wa jeshi hilo kwa mwezi Mei 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More

DKT. TULIA- RAIS SAMIA AMEFANIKISHA KWA KIASI KIKUBWA KAMPENI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan amekabidhiwa tuzo maalumu kwa kutambuliwa mchango wake  katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, tuzo ambayo imetolewa na wabunge wanawake kwa kushirikiana na Kampuni ya Oryx Gas Tanzania kwenye Maadhimisho ya Siku ya Nishati Safi Kupikia Duniani Akizungumza leo Juni 7,2024 katika maadhimisho hayo Spika wa Bunge Dk.Tulia Ackson…

Read More