Mzazi unamwandaaje mtoto kuwa mchapakazi, kiongozi?

Dar es Salaam. “Mtoto wa leo ndiye kiongozi na mchapakazi wa kesho. Ili kumjenga, tunahitaji uwekezaji wa muda, upendo na malezi yenye mwelekeo sahihi.” Hii ni kauli ya mtaalamu mmoja wa malezi, Chrinstom Haule aliyoniambia wakati nazungumza naye juu ya hoja hii. Haule aliniambia kuwa si lazima iwe na gharama kubwa, bali moyo wa kujitoa…

Read More

Unavyoweza kumjua hasidi wa ndoa yako

Katika maisha ya ndoa, hakuna jambo zuri kama kuwa na mwenza unayependana naye kwa dhati, lakini pia hakuna changamoto kubwa kama kushughulika na watu wasiokutakia mema uhusiano huo.  Watu hawa, mara nyingi huingia katika maisha ya wanandoa kama marafiki, ndugu, au hata majirani, lakini lengo lao si jema. Ni muhimu sana kutambua na kujua dalili…

Read More

Unalea au unatunza mtoto? | Mwananchi

Dar es Salaam. Kutambua mfumo mzima wa hisia wa mtoto akiwa amekwazika, amekasirika, ana furaha anacheza na nani au  anaishi vipi,  ni miongoni mwa vipengele vya maana katika kulea mtoto. Lakini kutunza mtoto ni kutimiza haki za msingi za mtoto kama kumpa malazi mazuri,  elimu bora, mavazi na vyakula bila ya kufuatilia kile anachokifanya ikiwemo…

Read More

Kujihesabia haki kila jambo kunaweza kukuangamiza

Tumsifu Yesu kristu. Nakusalimu kwa Jina la Bwana wetu Yesu kristo aliye hai. Ninamtukuza Mungu kwa ajili yako kwa kuendelea kuachilia neema ya uhai kwako na kwa familia yako. Ni imani yangu kuwa unaendeleaa vizuri katika safari hii ya kuutafuta ufalme wa Mungu. Mungu akubariki. Nikukaribishe kuungana nami katika tafakari ya ujumbe wa leo unaosema,…

Read More