Mabadiliko Ofisi ya Rais yalivyowaibua wadau

Dar es Salaam. Mabadiliko aliyoyafanya Rais Samia Suluhu Hassan Juni 6, 2024 yamewaibua wadau na wachambuzi wa masuala ya siasa na utawala, baadhi wakishauri uchunguzi wa kina uwe unafanyika kwa wateule wa Rais, ili kuepusha mabadiliko ya mara kwa mara. Wamesema Ofisi ya Rais inatakiwa kuwa na utulivu, hasa wakati huu nchi inapoelekea kwenye uchaguzi…

Read More

NCHIMBI AWASILI TANGA, KUHITIMISHA MIKOA 5

Matukio mbalimbali katika picha wakati Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi alipowasili na kupokelewa Mkoa wa Tanga, kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili katika mkoa huo, akitokea Mkoa wa Kilimanjaro. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga, Ndugu Rajab Abdulrahman Abdallah, aliwaongoza wanachama na viongozi wa…

Read More

UHALIFU SIO DILI KILA MMOJA AUCHUKIE UHALIFU

Wananchi wa Kata ya Itumpi Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wametakiwa kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi katika suala la ulinzi kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili jamii iwe salama. Hayo yalisemwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga Juni 07, 2024 alipotembelea Kata hiyo…

Read More

Polisi yakamata toy zinazotumika kufanyia uhalifu

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imemkamata Hassan Yahya ‘Kobra’ na wenzake watatu wakiwa na toy ambazo wanazitumia kama silaha katika kufanya uhalifu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 7,2024, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amezitaja toy hizo huwa ni…

Read More

Dk Biteko awataka askari TFS kuthamini uhai wa binadamu

Geita. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amewataka askari wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kutambua uhai wa mtu ni wa thamani na kazi yao ni kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wale wanaoingia msituni bila kibali, na sio kuwapiga, kuwasababisha ulemavu au kifo. Pia amekemea tabia ya wananchi…

Read More

Sloti ya Maajabu, Fortune Farm Kasino Mtandaoni

* “Fortune Farm ni mchezo wa sloti ya kasino ya mtandaoni wenye nguzo tano zilizopangwa katika safu mitatu naina njia 10 za malipo zisizobadilika. Ili kushinda, unahitaji kuunganisha alama tatu au zaidi zinazofanana kwenye mstari wa malipo.” MERIDIANBET Kasino ya Mtandaoni inakukaribisha kwenye Shamba la Furaha! Furahia wakati mzuri ambao haujawahi kuwa nao kabla. Kutana…

Read More