
Waziri atoa mwezi mmoja Mfumo wa Mipaka kufanya kazi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na askari wa idara ya uhamiaji ya nchini Burundi wakati wa ziara ya ukaguzi wa Mpaka wa Manyovu unaotenganisha nchi ya Tanzania na Burundi.Waziri Masauni yuko katika ziara ya kikazi mkoani Kigoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Mkuu wa wilaya ya Buhigwe,…