Serikali yataja ukomo wa michango kidato cha tano

Dodoma. Serikali imetoa ukomo wa michango kwa wanafunzi wanaojiunga na masomo ya kidato cha tano kuwa ni Sh80,000 kwa shule za bweni na Sh50,000 kwa shule za kutwa.  Ukomo huo umetajwa leo Juni 7, 2024 na Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Zainab Katimba bungeni…

Read More

TBS Yaadhimisha Siku ya Chakula Salama Duniani

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeadhimisha Siku ya Chakula Salama Duniani kwa kuendelea kusisitiza ulaji wa chakula salama kwa wananchi ili kuondokana na madhara ya kiafya na kiuchumi ikiwemo kushindwa kumudu katika biashra ya ushindani. Hayo yamebainishwa leo Juni 7, 2024 Jijini Dar es Salaam na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TBS, Dkt. Ashura Katunzi wakati…

Read More

Wafungisha ndoa watakiwa kujisajili kwenye e-RITA

KABIDHI Wasii Mkuu na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA), Frank Kanyusi amewataka wafungishaji ndoa wote nchini kujisajili kwenye mfumo wa kidijitali wa e-RITA ifikapo tarehe 10 Juni 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza Jijini Dar es Salaam jana Alhamisi Kanyusi alisema walengwa katika zoezi hilo ni wafungishaji wote kutoka dini…

Read More

Swali la askofu Gwajima lajibiwa upya

Dodoma. Hatimaye Serikali imelijibu upya swali la Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima ambaye wiki iliyopita aligoma kuuliza swali la nyongeza akidai Serikali haikuwa imejibu swali lake la msingi. Mei 31, 2024, Askofu Gwajima aliuliza swali akitaka kujua kuna mpango gani wa dharura wa kudhibiti mito inayopanuka na kuhatarisha maisha na mali za wananchi katika…

Read More

Ukomo michango wanafunzi kidato cha tano 80,000

SERIKALI imesema ukomo wa michango kwa wanafunzi wanaojiunga kidato cha tano katika shule za sekondari za serikali ni Sh 80,000 kwa shule za bweni na Sh 50,000 kwa shule za kutwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamebainishwa leo Ijumaa na Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za…

Read More

Tetesi za ANC kujiunga na DA zaibua maandamano Afrika Kusini

Johannesburg. Wakati Chama cha African National Congress (ANC) cha Afrika Kusini kikiwa kimejifungia kutafakari kiungane na chama kipi kuunda Serikali, tetesi zimeibuka kuwa chama hicho kinatarajia kuungana na chama cha Democratic Alliance (DA). Tetesi hizo zimeibua hasira kwa baadhi ya wanachama wa ANC na wameanza maandamano ya kupinga. Wakati ANC ikiwa njiapanda, muda wa kikatiba…

Read More

Biteko aiagiza Tanesco kujenga laini mpya ya umeme Ushirombo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kujenga laini mpya ya umeme kutoka Nyakanazi-Ushirombo na Kahama Bongwe hadi Bukombe ili kuhakikisha hali ya upatikanaji wa umeme katika  Wilaya ya Bukombe inaimarika. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Dk. Biteko ametoa agizo hilo alipozungumza na wananchi wa Jimbo la…

Read More

Mv Kigamboni kufanyiwa ukarabati mkubwa

Dar es Salaam. Hatimaye Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Temesa) umetangaza kusitisha huduma za uvushaji abiria kwa kutumia kivuko cha Mv Kigamboni kuanzia leo Ijumaa Juni 7, 2024. Hatua hiyo kwa mujibu wa Temesa, inalenga kwenda kukifanyia ukarabati mkubwa kivuko hicho kinachotoa huduma kati ya Kigamboni-Magogoni jijini Dar es Salaam. Uamuzi wa Temesa umefikiwa…

Read More