Rais Samia apangua Ikulu, wizara, mikia na wilaya

RAIS Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali, huku sababu ikitajwa ni kuboresha utendaji kazi . Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Mabadiliko hayo ya viongozi yametangazwa Leo Alhamisi na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka. Katika uteuzi huo, Rais Samia amemteua Stanslaus Nyongo, kuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,…

Read More

Wadau wataka sheria mpya leseni za usafirishaji

Dar es Salaam. Wadau wa usafirishaji wametoa wito kwa Serikali kutunga sheria mpya ya leseni za usafirishaji ili kutengeneza mazingira bora ya utendaji katika sekta hiyo. Kulingana na maoni waliyoyatoa, wamesema kuwa mfumo wa sasa wa udhibiti umepitwa na wakati na una vikwazo na hivyo kuzuia ukuaji na ufanisi wa huduma za usafirishaji. Kwa kuwa…

Read More

Viongozi wa Amcos, makarani watakiwa kuzingatia weledi

Ruangwa. Serikali imesema haitasita kumchukulia hatua kali kiongozi yeyote wa chama cha ushirika (Amcos) atakayekwenda kinyume na maadili ya ushirika. Imesema wapo baadhi ambao tayari wamebainika wanashindwa kusimamia mazao ya wakulima na kusababisha kuibiwa hasa kwenye msimu wa ufuta. Akizungumza leo Alhamisi Juni 6, 2024 kwenye Jukwaa la pili la ushirika linalofanyika mjini Ruangwa, Mrajisi…

Read More

Doyo atangaza kumrithi Hamad Rashid ADC

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Doyo Hassan Doyo ametangaza nia ya kugombea nafasi ya uwenyekiti wa chama hicho, kinachoongozwa na Hamad Rashid. Kwa mujibu wa katiba ya chama hicho nafasi ya kiongozi ni kuongoza  vipindi viwili vya miaka mitano. Akizungumza na wanahabari leo Alhamisi Juni 6, 2024,…

Read More

AU watambua jitihada za Rais Samia na Ulega kuwainua wavuvi

UMOJA wa Afrika (AU) na Shirika la Kilimo na Chakula (FAO) wamemtambua Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, kama vinara wa kuwapambania wavuvi wadogo Afrika, ikiwa ni mwendelezo wa Mkutano wa Kimataifa wa wavuvi wadogo uliofanyika kwa siku mbili, Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)….

Read More

Vijana wafunga ofisi ya Katibu  UVCCM Mufindi

Mufindi. Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa wamefunga ofisi ya umoja huo wakilalamika kutoridhishwa na utendaji kazi wa Katibu wao,  Aizaki Mbuya. Vijana hao wamefanya shughuli hiyo wakiongozwa na Mwenyekiti wao, Christian Mahenge. Hata hivyo, Mahenge ametakiwa kufika kwenye kikao cha Kamati ya Maadili ya CCM Wilaya ya Mufindi, kueleza…

Read More

Muarobaini migongano ya binadamu wanyamapori watajwa

IMEELEZWA kuwa iwapo serikali itawekeza kwenye mpango wa matumizi bora ya ardhi, migongano baina ya binadamu na wanyamapori chini itapungua kama sio kuisha kabisa. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Hayo yameelezwa leo Alhamisi na Mtafiti Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), Dk Stephen Nindi wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari…

Read More