Utata kifo cha mfanyakazi Hospitali ya Mnazi Mmoja

Unguja. Wakati ndugu wa mfanyakazi wa Hospitali ya Rufaa Mnazi Mmoja, Said Ali Shineni (49) wakiwatuhumu walinzi wa hospitali hiyo kutoka Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) kumuua mtumishi huyo, Polisi na uongozi wa hospitali wamesema wanachunguza tukio hilo.  Akizungumza na Mwananchi  jana Jumanne Juni 4, 2024 ndugu wa marehemu huyo, Adil Suleiman Sheha amesema taarifa…

Read More

Umri wamnusuru kifungo cha miaka 30 jela

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imetengua hukumu ya Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza iliyothibitisha hukumu ya Mahakama ya Wilaya Bukombe (Geita) kwa kumpa Cosmas Herman kifungo cha miaka 30 jela, kutokana na umri wa mwathirika kutothibitishwa. Herman ambaye ni mkazi wa kijiji cha Msasa wilayani Bukombe, mkoani Geita alipewa adhabu hiyo katika hukumu yake…

Read More

Chalamila awatangazia neema wanawake Dar

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar ea Salaam, Albert Chalamila ametoa ofa ya mitungi ya gesi 1,500 kwa kina mama kutoka wilaya za tano za Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya uhamasishaji wa nishati safi ya kupitia na kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Chalamila ametoa ofa hiyo leo Jumatano Juni…

Read More

Kasoro katika utambuzi zamtoa jela aliyehukumiwa miaka 30

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Iringa imemuachia huru mshtakiwa aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka msichana raia wa Ujerumani. Seleman Nyigo, mwosha magari eneo la Ndiuka, Kata ya Gangilonga, Manispaa ya Iringa ameachiwa huru na mahakama. Mahakama katika hukumu iliyotolewa na Jaji Ilvin Mugeta imemuachia huru Seleman Nyigo  maarufu…

Read More

GGML imetekeleza mpango wa ukarabati wa ardhi kwa kupanda karibu miti nusu milioni, kusaidia kukuza baionowai na kukabiliana na uharibifu wa mazingira.

SHUGHULI za uchimbaji madini hutakiwa kwenda sambamba na urejeshaji mazingira ambayo kwa namna moja au nyingine yanaweza kuharibiwa na shughuli hizo ndio maana kumekuwa na ufuatiliaji mkubwa kwa upande wa Serikali na mamlaka husika kuhakikisha mazingira yanalindwa. Vivyo hivyo katika kulinda vyanzo vya maji hasa ikizingatiwa yanatumiwa na viumbe hai wote ikiwamo binadamu na wanyama….

Read More

Majibu ya Bashe kwa Mpina uagizaji sukari nje

Dodoma. Serikali imeweka msisitizo ikisema changamoto iliyojitokeza mwanzoni mwa mwaka huu ya bei ya sukari kupaa halitajirudia. Kauli hiyo imetolewa baada ya hoja kuhusu sukari kujitokeza wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka 2024/25 bungeni jana Juni 4, 2024. Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema kuruhusiwa wafanyabiashara…

Read More

Afrika yakabiliwa na uhaba wa marubani,wahandisi

Arusha. Ushindani katika usafiri wa anga katika Bara la Afrika unatajwa kuwa mdogo kutokana na mashirika ya ndege kuwa machache na kuwa yakiongezeka yatasaidia kuongeza ushindani,nauli kushuka pamoja na ubora wa huduma kuongezeka. Aidha,  bara hilo linatajwa kuwa na upungufu wa rasilimali watu wakiwemo marubani na wahandisi katika sekta hiyo muhimu ambayo inazidi kukua kwa…

Read More

Wawili mbaroni kwa kubaka, kumuua mtoto wa miaka miwili

Songwe. Wanaume wawili wakazi wa wilaya ya Songwe Mkoani Songwe wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo Kwa tuhuma za kumbaka na kumuua mtoto mdogo wa kike (2) mkazi wa Kaloleni wilayani humo. Kamanda wa Polisi mkoani humo Augustino Senga  amethibitisha hayo leo Juni 5,2024 wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mafanikio ya…

Read More