DKT.MPANGO AAGIZA KIBANO WASIOTII SHERIA YA MAZINGIRA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Mazingira na Usimamizi wa Kijamii wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) Bi. Zafarani Madayi kuhusu miradi mbalimbali ya upandaji miti pembezoni mwa Barabara wakati akikagua mabanda ya maonesho katika Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika…

Read More

Uchaguzi Afrika Kusini funzo kwa vyama vilivyopigania uhuru

Dar es Salaam. Vyama vya siasa vilivyopigania uhuru vimetakiwa kubadilika ili kuendana na hali ya sasa kuviwezesha kuendelea kushika dola, ikiwa ni pamoja na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi. Hayo yameelezwa leo Juni 5, 2024 na wanasiasa na wachambuzi wa masuala ya siasa za kimataifa waliochangia mada katika mjadala wa Mwananchi Space ulioandaliwa na Kampuni ya…

Read More

Taifa Gas yapewa tuzo kwa utunzaji mazingira

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amekabidhi tuzo maalum kwa kampuni ya nishati ya gesi ya kupikia ya Taifa Gas Limited ikiwa ni ishara ya serikali kutambua juhudi za kampuni hiyo katika utunzaji wa mazingira sambamba na kuunga mkono kampeni ya kumtua mama kuni kichwani inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kampeni…

Read More

AKU chatoa somo la mazingira sekondari

Dar es Salaam. Katika kuleta uendelevu na kuwa na mwenendo mzuri wa utunzaji wa mazingira, Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU), kimewajengea uwezo wanafunzi kidato cha pili wa shule ya sekondari ya wasichana ya Jangwani jijini Dar es Salaam. Mafunzo yaliendeshwa na klabu ya mazingira ya wanafunzi ya AKU yakiambatana na upandaji wa miti katika…

Read More

Wamuangukia Rais Samia mgogoro wa pori la akiba

Kiteto. Wafugaji wa Kijiji cha Irkishibor wilayani Kiteto Mkoa wa  Manyara, wamemwomba Rais Samia Suluhu Hassan aingilie kati mgogoro wao wa ardhi baina yao na pori la akiba la Mkungunero ili shughuli za ufugaji na uhifadhi ziendelee.  Wafugaji hao wamewatuhumu baadhi ya askari wa pori hilo kuwanyanyasa, kukamata mifugo yao, kuvunja maboma yao yenye kaya…

Read More

Dk Nchimbi ataka kibano kwa watumishi wazembe

Moshi. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameitaka Serikali kuendelea kupambana na kuwachukulia hatua watumishi wa umma wanaotanguliza maslahi yao binafsi badala ya wananchi. Dk Nchimbi amesema kila mmoja kwenye eneo lake anapaswa kula kiapo cha uaminifu cha kuitumikia nchi kwa uzalendo na hivyo kuchochea maendeleo kwa Taifa. Dk Nchimbi amesema…

Read More

WAALIMU NA WAJASIRIAMALI WAFURAHIA FURSA ZA UWEKEZAJI

Na. Eva Ngowi, WF, Rukwa Serikali imetoa rai kwa Wananchi kuwekeza fedha zao sehemu sahihi na salama badala ya kuwekeza fedha mahali ambapo pana vihatarishi. Akiongea katika semina na Wajasiriamali wadogo iliyofanyika katika Soko la SabaSaba kwenye ukumbi wa Mwenyekiti wa Soko hilo mjini Sumbawanga, Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Uendeshaji wa Sekta ya Fedha,…

Read More

Msigwa, Lissu jukwaa moja Singida

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Kanda ya Nyasa, Peter Msigwa amefika mkoani Singida kuungana  na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu kwenye mikutano ya hadhara. Lissu amekuwa na mikutano ya hadhara mkoani Singida tangu mwanzoni mwa Juni inayotarajiwa kufanyika kwa wiki tatu. Msigwa aliyeshindwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) katika uchaguzi wa…

Read More