
PROF.KUSILUKA AWATAKA WATAALAMU WA MAZINGIRA UDOM KUREJESHA UOTO WA ASILI DODOMA.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Prof. Lughano Kusiluka,akizungumza wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Idara ya Jiografia na Stadi za Mazingira UDOM wenye kauli mbiu “Urejeshwaji wa Ardhi na Ustahimilivu wa Hali ya Jangwa na Ukame” uliohusisha wadau wa mazingira kutoka ndani na nje ya UDOM. Mkuuwa Idara ya Jiografia Dkt.Augustino Mwakipesile,akizungumza wakati…