93% ya uvuvi ni wavuvi wadogo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema asilimia 93 ya uvuvi wote hapa nchini unategemea wavuvi wadogo na hivyo ni lazima uwe endelevu kwa manufaa ya sekta nzima. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akifungua Mkutano wa Kwanza wa Wavuvi kufanyika baranı Afrika sambamba na Maadhimisho ya miaka 10 ya mafanikio ya…

Read More

Korea yatoa bilioni 422 ujenzi hospitali Binguni

Serikali ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Korea zimesaini Mkataba wa Mkopo nafuu wa Sh  422.16 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Binguni, Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Mkataba wa Mkopo huo umesainiwa jijini Soeul leo tarehe 5 Juni 2024 na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Natu Mwamba kwa…

Read More

PROMOSHENI ISIYO NA KIKOMO! KIBUNDA KIMEONGEZWA

UNAAMBIWA huko Meridianbet Bosi hataki mchezo, ile Promosheni ya shindano la Expanse si unaijua? Basi Pesa zimeongezeka kwa washindi na sasa dau limefikia Tsh Milioni Nne, Laki Saba na Elfu Hamsini. (4,750,000/=). Ili kushiriki kwenye shindano hili la kasino ya mtandaoni, Jisajili hapa. Shindano la Expanse ndani ya Meridianbet litatoa zawadi na bonasi za kasino kwa…

Read More

TLS yawafunda waandishi wa habari, yawataka kusaidia umma kutumia uhuru wa kujieleza

Chama cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS), kimewataka wandishi wa habari nchini kuzitumia sheria zilizopo kuhakikisha wanausaidia umma katika ukuzaji wa uhuru wa kujieleza. Anaripoti Wellu Mtaki, Dodoma… (endelea). Hayo yameelezwa jana tarehe 4 Juni 2024 jijini Dodoma na Makamu Mwenyekiti wa TLS Wakili Deus Nyabiri alipofungua mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo waandishi wa…

Read More

INEC YAWANOA WASIMAMIZI WA VITUO VYA UCHAGUZI JIMBO LA KWAHANI

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Dkt.Zakia Mohamed Abubakar leo tarehe 04 Aprili, 2024 wakati akifungua mafunzo kwa Makarani waongozaji Wapiga Kura vituoni yanayofanyika katika Skuli ya Sekondari ya Lumumba, Mjini Magharibi-Unguja Zanzibar. Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Dkt.Zakia Mohamed Abubakar leo tarehe 04 Aprili, 2024 wakati akifungua mafunzo kwa…

Read More

GGML inavyotumia teknolojia kuigeuza Geita kuwa ya kijani

SHUGHULI za uchimbaji madini hutakiwa kwenda sambamba na urejeshaji mazingira ambayo kwa namna moja au nyingine yanaweza kuharibiwa na shughuli hizo ndio maana kumekuwa na ufuatiliaji mkubwa kwa upande wa Serikali na mamlaka husika kuhakikisha mazingira yanalindwa. Anaandika Mwandishi Wetu … (endelea). Vivyo hivyo katika kulinda vyanzo vya maji hasa ikizingatiwa yanatumiwa na viumbe hai…

Read More