Wizara nne kushughulikia vyanzo ukatili kwa watoto

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Serikali inatarajia kuunda kamati maalumu itakayohusisha Wizara ya Katiba na Sheria, Mambo ya Ndani ya Nchi, Maendeleo ya Jamii na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kubaini vyanzo vya ongezeko la ukatili kwa watoto nchini. Akizungumza leo Juni 5,2024 wakati wa kongamano la kujadili utumikishwaji wa watoto Waziri…

Read More

UDSM YAADHIMISHA WIKI YA TISA (9) YA UTAFITI NA UNUNIFU

TAFITI na Ubunifu zinazoendelea kufanyika ndani ya nchi ni kutokana na msukumo wa Rais Samia kwani ameona zinatoa majibu ya changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii ya watanzania, kama alivyotatua kero ya maji kwa wanawake kuyafuata umbali mrefu kupitia kampeni ya kumtua mama ndoo kichwani. Ameyasema hayo leo Juni 5, 2024 Naibu Waziri wa Maji, Kundo Mathew…

Read More

Narendra Modi akosa wingi wa viti bungeni – DW – 05.06.2024

Licha ya Waziri Mkuu wa IndiaNarendra Modi kushinda muhula wake wa tatu mfululizo, lakini chama chake cha BJP hakikupata wingi wa wawakilishi bungeni kama kilivyotarajia ili kukiwezesha chama hicho kuiongoza India, sasa BJP kinahitaji kutafuta washirika kutoka vyama vingine vya kisiasa ili kuunda serikali ya mseto. Chama cha Waziri Mkuu Narendra Modi, kimepoteza wingi wa…

Read More

CTI yataka sheria nzuri kuwalinda wenye viwanda

Dar es Salaam. Kuwa na sheria nzuri ya kuwalinda wafanyabishara wa viwanda, kumetajwa kuwa ni moja ya vichocheo vya kuongeza kasi ya uwekezaji katika sekta hiyo. Kauli hiyo imetolewa leo Jumatano Juni 5, 2024 na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI) Leodegar Tenga, wakati wa hafla ya kuingia mkataba wa ushirikiano kati…

Read More

Aliyemtapeli Ridhiwani Sh4 milioni, atupwa jela miaka saba

Dar es Salaam. Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent  Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete. Chengula alijipatia fedha hizo, baada ya kujitambulisha…

Read More

Bei mafuta ya petroli, dizeli zashuka

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo ya mafuta ya petroli kupitia Bandari ya Dar es Salaam inayoanza kutumika leo tarehe 5 Juni 2024, kuwa imeshuka kwa Sh52.72 na kufikia Sh3, 261 kwa lita moja, ikilinganishwa na bei ya mwezi uliopita. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa iliyotolewa Ewura…

Read More