Mpango wa usitishaji vita na hatma ya kisiasa ya Netanyahu – DW – 04.06.2024

Hayo yanajiri wakati upinzani ndani ya serikali yake ya mseto ukimaanisha kuwa huenda nafasi yake kisiasa ipo mashakani.Washirika wa Netanyahu wanaofuata siasa kali za mrengo wa kulia wametishia kujiondoa katika serikali baada ya Rais wa Marekani Joe Biden kuwasilisha pendekezo la mpango wa kusitisha vita. Hali hii inamfanya Netanyahu kuvitegemea vyama vinavyofuata siasa za wastani…

Read More

TBS yatoa neno kuelekea Siku ya Chakula salama Duniani

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Chakula Salama Duniani, Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limewataka wananchi kuhakikisha chakula kinakuwa salama kabla ya matumizi ili kuweza kulinda afya zao. Kauli mbiu ya Maadhimisho hayo ambayo yanatarajiwa kufanyika Juni 7,2024 inasema” Chakula Salama Jiandae kwa Usiyoyatarajia” iliyobeba dhima kubwa yenye lengo la…

Read More

Wagombea uongozi Chadema Kaskazini kufanyiwa usaili

Babati. Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini waliochukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wa majimbo, watafanyiwa usaili kabla ya kupitishwa kuwania nafasi hizo.  Taarifa iliyotolewa leo Jumanne Juni 4, 2024 na ofisa habari na mawasiliano wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Mozee Joseph imesema usaili kwa Tanga mjini utafanyika…

Read More

TANZANIA KINARA AFRIKA USAMBAZAJI UMEME KWA WANANCHI

-Tanzania na Benki ya Dunia kushirikiana katika miradi ya nishati -Tanzania yapongezwa kufanya vizuri usambazi wa umeme kwa wananchi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Benki ya Dunia imeipongeza Tanzania kwa kuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa kusambazaji umeme kwa wananchi wake. Akitoa pongezi hizo leo Juni 4, 2024 jijini Dodoma,Mkurugenzi…

Read More

Auawa akidaiwa kujaribu kuwatoroka Polisi

Songea.  Francis Ngonyani, mkazi wa Songea, mkoani Ruvuma amefariki dunia baada ya kupigwa risasi mguuni na Polisi akidaiwa kujaribu kuwatoroka. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo Jumanne Juni 4, 2024 eneo la Lizabon, Songea mjini. Ngonyani anatuhumiwa kuwa kinara wa kuvunja maduka ya wafanyabiashara wa Songea mjini na kuiba vitu mbalimbali, vikiwamo vifaa vya…

Read More

LETSHEGO LISTS ITS FIRST SOCIAL BOND ON NAMIBIAN STOCK EXCHANGE

Gaborone. Letshego Holdings Namibia Limited (“Letshego Namibia” / “LHN”), a subsidiary of the pan African inclusive finance entity that has a presence in 11 Africa markets, is further demonstrating its social impact strategy through the listing of the Africa Group’s first social bond on the Namibian Stock Exchange (“NSX”).  The Group’s inaugural social listing received…

Read More