Wadau waitaka Serikali iwajibike kuwalinda wenye ualbino

Dar es Salaam. Zikiwa zimepita siku sita tangu kunyakuliwa kwa mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novatus (2) na watu wasiojulikana kijijini kwao Bulamula mkoani Kagera, baadhi ya wadau wameshauri kuwe na mikakati endelevu ya kuwalinda watu wenye ulemavu huo. Asimwe alinyakuliwa kwenye mikono ya mama yake Mei 30, 2024 katika Kijiji cha Bulamula, Kata ya Kamachumu,…

Read More

Mjengwa: Vyuo vya maendeleo ya wananchi suluhisho la ajira

Dar es Salaam. Mwaka 1969 Rais mstaafu wa awamu ya kwanza, Mwalimu Julius Nyerere alitembelea nchini Denmark,  na miongoni mwa mambo yaliyomvutia akiwa huko ni vyuo vya maendeleo ya wananchi. Aliporudi nchini alianzisha maandalizi ya kuwepo kwa vyuo hivyo na hatimaye mwaka 1975 vikaanza. Vyuo hivyo  ni falsafa yenye kuhusiana na watu wazima na maendeleo…

Read More

DIT YAJIPANGA VYEMA UBORESHAJI WA MITAALA MIPYA

     Makamu Mkuu wa Taasisi ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) Taalamu, Utafiti na Ushauri wa Kitaalam Prof. Ezekiel Amri ameipongeza timu ya wadau walioshiriki katika warsha ya  kuboresha mitaala mipya katika fani za Uhandisi Umeme na Nishati Jadidifu katika ngazi ya Uzamili na Stashahada. Ameyasema hayo leo tarehe 4/6/2024 kwenye Warsha…

Read More