DC MOSHI ATANGAZA SIKU 21 ZA OPERESHENI TOKOMEZA GONGO..

  NA WILLIUM PAUL, MOSHI.  MKUU wa Wilaya ya Moshi Zephania  Sumaye ametangaza siku 21 za moto za Oparation ya kukamata mitambo yote inayotengenzea pombe haramu ya gongo katika Wilaya hiyo. Akizungumza katika baraza la Madiwani la Halmashauri ya Moshi Sumaye amesema vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa wameharibikiwa kutokana na unywaji wa pombe…

Read More

MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI 2024 KITAIFA KUFANYIKA TABORA KUANZIA JUNI 29.

MRAJIS  na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, (TCDC) , Dkt. Benson Ndiege,akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 4,2024 jijini Dodoma kuhusu kuelekea  maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani (SUD 2024) yanatarajia kufanyika  kitaifa mkoani Tabora kuanzia Juni 29,2024 na kufikia kilele chake  Julai 6, 2024 katika viwanja vya Nanenane –…

Read More

Sita mbaroni wakidaiwa kumuua mama yao mzazi

Mwanza. Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa tuhuma za mauaji ya mama yao mzazi, Shija Mageranya (77), mkazi wa Kijiji cha Ndua Kata ya Kasororo wilayani Misungwi mkoani humo. Watuhumiwa hao ni Kashinja Dotto (55), Joseph Dotto (20), Magerani Dotto (44), Nyanzala Dotto (34), Masaga Dotto (46) na Milapa Dotto…

Read More

TEKNOLOJIA YA KUDHIBITI WANYAMAPOLI WASITOKE HIFADHINI ITASAIDIA KUPUNGUZA CHANGAMOTO YA TEMBO KWA WANANCHI

  Shirika la Hifadhi ya Taifa TANAPA wameanza mpango wa kudhibiti wanyamapori, wakiwemo tembo wasivamie maeneo ambayo ni makazi ya watu kwa kwa kuwavalisha mikanda ya  kielektroniki yenye kutoa ishara ya utambuzi walipo hasa kama wameondoka katika hifadhi. Taarifa ya kutekelezwa kwa mpango huo imetolewa na Mkuu wa Uhifadhi kanda ya Mashariki Kamishna msaidizi mwandamizi…

Read More

WAJASIRIAMALI WADOGO WAPATA ELIMU YA FEDHA SUMBAWANGA

Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Uendeshaji wa Sekta ya Fedha- Wizara ya Fedha, Bw. Salim Kimaro,akitoa elimu ya fedha kwa Wajasiriamali wadogo wadogo (hawamo pichani) katika Ukumbi wa Manispaa ya Wilaya ya Sumbawanga mjini mkoani Rukwa. Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Uendeshaji wa Sekta ya Fedha- Wizara ya Fedha, Bw. Salim Kimaro, (wa kwanza kulia)…

Read More

Tuzo ya KAZI IENDELEEE AWARDS yatolewa kuchochea hari ya wanawake katika kuziwahi fursa Pwani

Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake cha Generation Queens mkoani Pwani, Betty Msimbe amewaasa wanawake kuendelea kujituma ili kujikomboa kimaisha na kuondokana na zama za utegemezi. Akitoa rai baada ya kutoa tuzo ya KAZI IENDELEEE AWARDS kwa makundi mbalimbali ikiwemo wajasiriamali , kwenye sherehe ya Umoja wa kikundi hicho , alieleza wanawake kwasasa sio muda wa…

Read More

Selcom yainunua Access Benki Tanzania

Dar es Salaam. Kampuni ya Selcom imeinunua iliyokuwa benki ya Access Tanzania ikiwa ni moja ya hatua za kutanua shughuli zake za biashara katika huduma za kifedha nchini. Uwekezaji uliofanywa na Selcom ,sasa unaifanya benki hiyo kuwa na mtaji wa zaidi ya Sh8.6 bilioni, huku ikibeba malengo ya kuwa miongoni mwa benki kubwa tatu ndani…

Read More