Amekutumia Halafu Anakuacha? Usiumie, Fanya Haya!

MUNGU ni mwema sana. Tunakutana katika eneo letu la kuweza kupeana darasa la masuala ya uhusiano. Tunajifunza, tunatafakari kwa pamoja kuhusu maisha yetu. Hakuna aliye mkamilifu, kila mtu anajifunza kila siku. Unaweza kujiona unajua mambo lakini kumbe kuna mwenzako anajua zaidi. Uungwana ni kujenga desturi ya kujifunza. Suala la msingi ni kuiruhusu akili yako iweze…

Read More

WANAWAKE TTCL WAWASAIDIA WATOTO WAGONJWA WA MOYO JKCI

Baadhi ya Wanawake wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wakiwa na Daktari Bingwa Mbobezi wa Magonjwa ya Moyo kwa Watoto – JKCI, Dk. Naizihijwa Majani (katikati) akipokea msaada huo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Kituo hicho. Baadhi ya Wanawake wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wakiwa na Daktari Bingwa Mbobezi wa Magonjwa ya Moyo kwa Watoto –…

Read More

MWANAMKE NDIYE MSINGI WA MAADILI KATIKA JAMII

Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Kahama, Martha Kapela akizungumza na wanawake juu ya majukumu ya wanawake katika malezi, elimu ya maadili, na utunzaji wa familia huku akiwahimiza walimu kushirikiana katika malezi ya watoto shuleni. Na Neema Nkumbi, Kahama Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Kahama, Martha Kapela, amesema mwanamke ndiye chanzo cha maadili katika jamii, huku…

Read More

‘’MSITOE MAAMUZI YA KUWAFURAHISHA WATU’’- DKT AKWILAPO

Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Leonard Akwilapoameshuhudia uapisho wa wajumbe wa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya na kuwataka wajumbe hao kutenda haki kuacha kutoa maamuzi ya kuwafurahisha watu wakati wa kusikiliza mashauri ya ardhi. Uapisho huo umeongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Donald Wilson Msengi, na kufanyika leo tarehe 7…

Read More