
OFISI ZA JAMII FORUMS ZADAIWA KUVAMIWA
:::::: Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo, amesema Ofisi zao zimevamiwa na kwa kile alichodai kuwa uvamizi ulikuwa na Lengo la kumtafuta yeye Kupitia ukurasa wa Melo amechapisha taarifa inayosomeka “Kuna ‘uvamizi’ usio rafiki uliofanyika muda sio mrefu katika ofisi za JamiiForums, Mikocheni jijini Dar wakinitafuta mimi .. Nalaani vitendo kama hivi, ila umma utaujua…