Miradi ya Sh164 bilioni kutembelewa na mbio za mwenge
Geita. Miradi 61 yenye thamani ya zaidi ya Sh164 bilioni inatarajiwa kutembelewa, kukaguliwa, kuwekewa mawe ya msingi na kuzinduliwa na Mwenge wa Uhuru mwaka huu mkoani Geita, ikiwa ni ongezeko la zaidi ya asilimia 500 ya thamani ya miradi iliyotembelewa mwaka 2024. Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela ameyasema hayo leo Septemba 30, 2025,…