Balozi wa Tanzania nchini Korea akanusha upotoshaji Tanzania kutoa sehemu ya bahari na madini

Balozi wa Tanzania nchini Korea, Togolani Mavura amekanusha taarifa iliyosambazwa na chombo kimoja cha habari kuwa Tanzania imepokea mkopo kutoka Jamhuri ya Korea na kutoa sehemu ya bahari na madini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kupitia ukurasa wake rasmi wa mtandao wa X (zamani Twitter), Balozi Togolani ameandika, “Taarifa hii ina mapungufu makubwa ya kiuandishi,…

Read More

Chongolo aagiza mzee aliyeporwa ardhi arejeshewe

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo ameuaguza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe kumrejeshea ekari 18 Wendisoni Sasala ambazo ziliongezwa kutoka ekari 50 alizotoa bure kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Msingi Itindi na kufikia ekari 68 bila ridhaa yake. Mzee Sasala ametoa malalamiko hayo jana jioni Juni 4, 2024 mbele…

Read More

WAAMBIENI WANANCHI MADHARA YA KUCHAGUA VIONGOZI WANAOTOA RUSHWA -MHE.SIMBACHAWENE 

  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Viongozi wa TAKUKURU (hawapo pichani) wakati akifungua kikao kazi cha viongozi hao kilichofanyika Kibaha mkoani Pwani katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere. Sehemu ya Viongozi wa TAKUKURU wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya…

Read More

Sasa wanaume kuwasindikiza wanawake leba Tanzania – DW – 04.06.2024

Mwenza huwa na sehemu maalumu ya kukaa huku amevaa vifaa maalumu vya kufatilia mapigo ya moyo ya mama na kushuhudia  mchakato mzima wa kujifungua. Hospitali hiyo inasema uzinduzi wa wodi hizo unafuatia utafiti uliofanywa unaoonesha kuwa wanawake wanaojifungua huku wakiwa karibu na wenza wao huwa salama zaidi. Maboresho yaliyofanywa katika wodi hiyo ya wazazi yanazingatia mfumo wa…

Read More

Mauzinde akatwa masikio na kutelekezwa msituni

Unguja. Hussein Abdala (30) maarufu Mauzinde mkazi wa Rahaleo Mkoa wa Mjini Magharibi visiwani Zanzibar amekatwa masikio yote mawili na kutelekezwa msituni. Tukio hilo limetokea  jana Jumapili Juni 2, 2024 saa 3 usiku eneo la Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja. Akizungumza na Mwananchi Digital kwa njia ya simu leo Juni 3, 2024…

Read More