Dk Biteko ang’aka vitengo vya mazingira kutotengewa bajeti

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk Doto Biteko amekerwa na watendaji wa vitengo vya mazingira kwenye wizara na taasisi kudhani kuwa hawana shughuli za kufanya na wakati mwingine kutotengewa bajeti. Akizungumza leo Jumatatu Juni 3, 2024 wakati akifungua maadhimisho ya Wiki ya Mazingira, Dk Biteko amesema kazi utunzaji wa mazingira imeachiwa na…

Read More

DP World yakabidhiwa bandari Dar

Dar es Salaam. Wakati Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ikikabidhi Bandari ya Dar es Salaam kwa Kampuni ya DP World, Serikali inaangalia namna ya kufanya upanuzi wa bandari hiyo ili kuendana na ongezeko la mizigo inayohudumiwa. Hiyo ni baada ya baadhi ya wamiliki wa migodi kutoka nchi jirani pia kuonyesha nia ya kuanza kutumia Bandari…

Read More

Washtakiwa waomba kubadilishiwa shtaka la mauaji

Dar es Salaam. Mshtakiwa Fadhil Athuman na wenzake wawili, wameiomba Serikali iangalie uwezekano wa kuwabadilishia shtaka la mauaji linalowakabili liwe shtaka la mauaji bila kukusudia. Ombi hilo limetolewa leo Jumatatu, Juni 3, 2024 kupitia wakili wao, Hassan Kiangio wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili washtakiwa kusomewa maelezo ya mashahidi na vielelezo yaani ‘Committal Proceedings’. Kiangio…

Read More

Wataalamu elimu kujifunza teknolojia mpya

Dar es Salaam. Katika kuhakikisha mpango wa kuwa na mkondo wa elimu ya amali kwa shule za sekondari na vyuo vya elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi unatekelezeka, Tanzania imeweka mkakati wa kuimarisha uhusiano na mataifa yaliyoendelea kwenye teknolojia. Hatua hiyo itawezesha watalaamu wa ndani kujifunza teknolojia mpya zinazotumika kwenye elimu ya ufundi…

Read More