Mradi wa Tanzania ya kidijitali washinda tuzo ya kimataifa

Dar es Salaam. Tanzania imeibuka mshindi wa Tuzo ya Jumuiya ya Habari Duniani (WSIS 2024) nchini Uswisi. Tuzo hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Duniani (ITU) Doreen Martin na kukabidhiwa kwa Rais wa Jumuiya ya Intaneti Tanzania Nazar Nicholas. Utoaji wa tuzo hiyo umeshuhudiwa na Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya…

Read More

OSTADH ADAIWA KULAWITI WATOTO 15 ,HUKO MAFIA , MKOANI PWANI

  Mkuu wa wilaya ya Mafia, mkoani Pwani, Aziza Mangosongo , amethibitisha kukamatwa kwa Ostadh wa Madrasa anaedaiwa kulawiti watoto zaidi ya Kumi ambapo pia zipo kesi nyingine zinaendelea kuchunguzwa. Aidha amesema, licha ya serikali kupambana kupiga vita vitendo vya ukatili dhidi ya watoto lakini bado baadhi ya wakazi wa kisiwa hicho, wameonekana kutia pamba…

Read More

Watu 6 mbaroni kwa kudakwa na meno ya tembo

Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za  kukutwa na nyara za serikali aina ya meno ya Tembo vipande 12. Anaripoti Safina Sarwatt, Kilimanjaro…(endelea). Katika taarifa yake kwa wandishi wa habari Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro, SACP Simon Maigwa amesema watuhumiwa hao wamekamatwa kufuatia operesheni ya ukamataji wa makosa…

Read More

Zaidi ya nusu ya miundombinu yote Ukanda wa Gaza imeharibiwa – DW – 03.06.2024

Tathmini ya shirika hilo la Umoja wa Mataifa linalofanya uchunguzi kwa kutumia Satelati (UNOSAT) imeonyesha zaidi ya majengo 137,000 yameathirika huko Gaza. Makadirio hayo yanatokana na picha za satelaiti zilizopigwa Mei 3.  Na ilikingalinishwa na picha zilizopigwa mwaka mmoja kabla ya shambulizi la Hamas la Oktoba 7 nchini Israel. Takwimu hizo zinalingana na karibu asilimia 55…

Read More

Serikali, wadau kuwapa wanawake ujuzi wa teknolojia

Dar es Salaam. Katika kuongeza ushiriki wa wanawake katika matumizi ya teknolojia, Serikali imeweka mkakati wa kushirikiana na wadau kutoa elimu ili kufikia usawa wa kijinsia katika uga huo. Hayo yamesemwa leo Juni 3 jijini Dar es Salaam  na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalumu, Dk Dorothy Gwajima katika hafla…

Read More