
Rais Samia kujenga chuo cha masuala ya anga
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema ana nia ya kujenga chuo cha masuala ya anga nchini kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga cha Korea. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Rais Samia ameyasema hayo leo Jumatatu wakati wa shughuli ya Kutunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) katika sekta ya anga na…