
WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA SOKO LA KISASA LA SAMAKI LA CHATO BEACH
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Soko la Samaki la Kisasa la Chato Beach katika mji mdogo wa Chato mkoani Geita, Juni 3, 2024. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita, Nicholas Kasandamila, wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela, wa pili kulia ni Mbunge wa Chato, Dkt. Medard…